msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,738
Asante kaka! kitufe cha like naona kimeenda likizo kikirejea nitakugongea.
Wanataka wakishindwa uchaguzi 2015 wasingizie wasomali... visingizio on production.... haya ni maadalizi tu
Asante kaka! kitufe cha like naona kimeenda likizo kikirejea nitakugongea.
Yale machafuko ni sababu tu!
Wasomali wameingia US toka mwaka 1920!
Na wasomali wameingia England toka mwaka 1934!
Ingia library upekue uone mwenyewe!
Hao ni watoto wa BABA! Kila nchi wamefungua miradi Kedekede!
Nenda ndani ya MANHATTAN! Utakuta maduka yao yamejaa,
Njoo Piccadilly central london Biashara zao KIBAAAO!
Nenda Amsterdam utashangaa mwenyewe!
Norway na Denmark wanamiliki mpaka mashule.
Ingia France hasa mji wa Marseille,
Wanamiliki mitaa ya biashara. Mpka askari wa maeneo yale ni wasomali.
Hapana kuchezea hawa watu!
Wakija kuposa hapo home wala uskatae mkuu. Bora ya kuwa na shemeji muhangaikaji kuliko wale wachaga walevi.
Nilikuwa namjibu mtoa hoja mwingine nikabugi na Ku quote ya kwako, soma mpaka mwisho
Na kweli ubaguzi mbaya kwa hiyo anaezaliwa hapa kuingia bungeni ni lazima awe na kabila la hapa Tanzania hujui kuwa waziri wa kwanza wa fedha alikuwa ana asili ya India
Dunia imebadilika sana. Marekani rais ni mtu mwenye asili ya kenya moja kwa moja kupitia kwa baba yake na itali nchi ambayo ina ubaguzi sana kuna waziri wa kiafrika [mwana mama] Wakati wenzenu wanakimbia nyinyi mnapaswa kupaa ili kuwafikia na kuwapita. siasa za jikoni hata kina mama wanazikataa kwani zimepitwa na wakatiHuyo hajui tumeshakuwa na Waziri wa Ulinzi ana asili ya Kisomali, tumeshakuwa na Waziri Mkuu ana asili ya ki Oman, tumeshakuwa na mawaziri wana asili ya Kizungu na bado tunao wengi tu.
Hajui pia kuwa Nyerere mwenyewe ana asili ya Kirwanda.
Mwizi wa FAT.
Halafu baada ya kutoka jela kaja kaivuruga Simba, sasa hapakaliki
Kwa nini hakutafuta hayo maisha Moshi Kilimanjaro
Good point na ni wananchi wasiobaguliwa kama hapa
Nyie ni watu mliochanganya damu!
Wakishumundu wanywa kinyesi hawawezi kuwa na asili na Ardhii hii nzuri.
Rudini kwa baba zenu rwanda, wahutu wakubwa nyie!
Dadadeki.wahed, zubbu la khmaru l uuda!
Jamani mkuu maneno makali haya ..jamani ....khaaa!
Na kweli ubaguzi mbaya kwa hiyo anaezaliwa hapa kuingia bungeni ni lazima awe na kabila la hapa Tanzania hujui kuwa waziri wa kwanza wa fedha alikuwa ana asili ya India
yawezekana tulikuwa na uhitaji kwa kipindi hicho; wadhani bado kwa hali ya sasa bado tuendelee na hii hali?
Wala si ubaguzi, watanzania walioko huko nje wanapata nafasi kama hizo?
kwa roho mbaya wasomali balaa... na hilo kabila lenu,Nani ambaye hajui............
Mkuu una utani na Rage? ha ha hamkoa wa tabora una wananchi wengi wenye asili ya somalia. wamefikaje tabora isiyo hata upande wa kuelekea somalia?
Miaka 3000 iliyopita walikuwa hapa Tanzania, na kwa huko Tabora walifika na wajerumani wakiwa askari baadae wakawa wafanya biashara wakubwa wakiwahudumia wazungu kama chakula,