Wasomali walifikaje Tabora?

Wasomali walifikaje Tabora?

Wasomali wamevunja rekodi ya kuwa stow-away,,wazamiaji wakubwa duniani!! Kuna dogo alizamia ndege kwenye wheel holes/vishimo vinavyoingiza matairi ya ndege.

Ungezungumzia miaka ya nyuma kabla na baada ya Uhuru kama miaka 30 ningeelewa kwani walikuwa wasomali wengi sana ambao wanajulikana mpaka leo hata late pres Nyerere alikuwa anawajua kwani walimsaidia sana kupata Uhuru lakini wazee hao wote ni marehemu sasa na waliowaacha wengi wamehama nchi sijui tatizo liko kisiasa zaidi au maana sielewi kabisa mantiki ya maneno yako,sorry hii ni kisa na mkasa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwani unatumia simu kuandika? maana ulichoandika ni point lakini zimekosa mifupa na nyama! Funguka kaka, weka na reference tujikumbushe bana.

Hizo ni baadhi ya historia ninayoijuwa about Somalis nilisoma mda mrefu kuwa waliingia miaka hiyo na kuna wengi ambao wamebadilika kama washunguli ambao wapo, labda ungetusaidia kwa hilo sorry ntarudi kwenye darsa
 
nadhani watu hawa wana tabia ya kutangulizana na baadaye wengine kufuata, tunayashuhudia magari yanayokamatwa kwa sasa wakielekea South Africa kama ushahidi wa kufuata ndugu zao waliotangulia huko. Nchi yetu tunawaamini kwa haraka sana wageni na hata pengine hatuna screening za kutosha, kama tuna hadi wabunge wa aina hiyo, tuone jinsi ambavyo tunastahili wote kulaumiwa.

Waliwafuata ndugu zao ambao walifika salama na wakawaita kuwa huku kuna neema kuuubwa nao wakaifuata! na kwa palivyo kati ya nchi mara chache sana wanafuatiliwa ukilinganisha na mipakani

Na kweli ubaguzi mbaya kwa hiyo anaezaliwa hapa kuingia bungeni ni lazima awe na kabila la hapa Tanzania hujui kuwa waziri wa kwanza wa fedha alikuwa ana asili ya India
 
Miaka 3000 iliyopita walikuwa hapa Tanzania, na kwa huko Tabora walifika na wajerumani wakiwa askari baadae wakawa wafanya biashara wakubwa wakiwahudumia wazungu kama chakula, na nyama general merchants, wengi wao walipewa British nationalities na wakapelekwa Burma na nchi nyingine kupigana Vita vya pili, usishangae Tabora walianza kutembea nchi nyingi duniani na kufanya biashara aina nyingi wakati wengine wakiwa wanatembea uchi, kuhusu suala la wasomali kuwepo serikalini pia alikuwepo mkuu wa polisi ingawa hakuna wengi kwenye siasa lakini walichangia mchango mkubwa wakati wa kutafuta Uhuru

Acha uongo kijana hakuna historia ya Tanganyika iliyosahihi kabla ya ukoloni, nachojua mimi wasomali walikuja Tanzania kama wakimbizi kitokana na mauji waliyokuwa wanafanyiwa na serikali ya kikoloni ya kiingereza na baadaye Rais wa kwanza wa Kenya alikuwa anawaua sana wasomali haswa maeneo ya Garisa, Mandera nk na ndo maana huko hakuna huduma nzuri za jamii ingawa wote ni Wakenya
 
Good point na ni wananchi wasiobaguliwa kama hapa

The Somali Bantus live in the region of the Juba and Shabelle rivers. They have been there since the time of the Arab slave trade, when their ancestors were taken as slaves from Tanzania. The total population is unknown, but may number up to one million. Since their arrival in the Somali territories, they have been exploited, socially outcast, and subject to various abuses. The plight of Somali Bantus was highlighted in 2003 when, as refugees from the Somali conflict, 12,000 were repatriated as refugees to the USA. Other than this, the Somali Bantus have received little news attention.
 
Ooyooo na hawa waswahili wa kibongo walifikaje huko uchina tena wapo magerizani sembuse hawa wa kisomali wapo nje na shuguli zao ziwe za halali au za haramu lakini wapo nje ni vipi au unapandikiza chuki kama zile za munguja na mpemba maana mpemba
 
Acha uongo kijana hakuna historia ya Tanganyika iliyosahihi kabla ya ukoloni, nachojua mimi wasomali walikuja Tanzania kama wakimbizi kitokana na mauji waliyokuwa wanafanyiwa na serikali ya kikoloni ya kiingereza na baadaye Rais wa kwanza wa Kenya alikuwa anawaua sana wasomali haswa maeneo ya Garisa, Mandera nk na ndo maana huko hakuna huduma nzuri za jamii ingawa wote ni Wakenya

Unasema "nnachojua mimi"!
Kwani wewe umekuwa nani!?

Kaa mkao wa kula usimeshwe! Bata always haachi kuhara ovyo!
 
Ungezungumzia miaka ya nyuma kabla na baada ya Uhuru kama miaka 30 ningeelewa kwani walikuwa wasomali wengi sana ambao wanajulikana mpaka leo hata late pres Nyerere alikuwa anawajua kwani walimsaidia sana kupata Uhuru lakini wazee hao wote ni marehemu sasa na waliowaacha wengi wamehama nchi sijui tatizo liko kisiasa zaidi au maana sielewi kabisa mantiki ya maneno yako,sorry hii ni kisa na mkasa

Mkuu dunia nzima kwa sasa inawasomali,kutoka Africa mpaka Europe.
Wasomali wamekuwa wakimbizi na wazamiaji kwa nchi nyingi toka machafuko nchini mwao.
Hapa Tanzania tumeshuhudia wakivushwa katika malori kwa mamia.
Wasomali kwa maelfu wanakimbia kwao kupitia Eritrea-misri- lampedusa-Italy kisha ulaya na scandinavia.
Mantiki yangu ni kuwa hawa jamaa ni mafundi wa kupenya kila sehemu kutafuta hifadhi kufuatia vita huko kwao.
Hujaelewa nini??
 
Last edited by a moderator:
We umefika huko maana najua wengi wana kazi za maana huko na maisha mazuri tu

The Somali Bantus live in the region of the Juba and Shabelle rivers. They have been there since the time of the Arab slave trade, when their ancestors were taken as slaves from Tanzania. The total population is unknown, but may number up to one million. Since their arrival in the Somali territories, they have been exploited, socially outcast, and subject to various abuses. The plight of Somali Bantus was highlighted in 2003 when, as refugees from the Somali conflict, 12,000 were repatriated as refugees to the USA. Other than this, the Somali Bantus have received little news attention.
 
Mkuu dunia nzima kwa sasa inawasomali,kutoka Africa mpaka Europe.
Wasomali wamekuwa wakimbizi na wazamiaji kwa nchi nyingi toka machafuko nchini mwao.
Hapa Tanzania tumeshuhudia wakivushwa katika malori kwa mamia.
Wasomali kwa maelfu wanakimbia kwao kupitia Eritrea-misri- lampedusa-Italy kisha ulaya na scandinavia.
Mantiki yangu ni kuwa hawa jamaa ni mafundi wa kupenya kila sehemu kutafuta hifadhi kufuatia vita huko kwao.
Hujaelewa nini??

Yale machafuko ni sababu tu!
Wasomali wameingia US toka mwaka 1920!

Na wasomali wameingia England toka mwaka 1934!

Ingia library upekue uone mwenyewe!
Hao ni watoto wa BABA! Kila nchi wamefungua miradi Kedekede!
Nenda ndani ya MANHATTAN! Utakuta maduka yao yamejaa,
Njoo Piccadilly central london Biashara zao KIBAAAO!
Nenda Amsterdam utashangaa mwenyewe!
Norway na Denmark wanamiliki mpaka mashule.

Ingia France hasa mji wa Marseille,
Wanamiliki mitaa ya biashara. Mpka askari wa maeneo yale ni wasomali.

Hapana kuchezea hawa watu!
Wakija kuposa hapo home wala uskatae mkuu. Bora ya kuwa na shemeji muhangaikaji kuliko wale wachaga walevi.
 
Acha uongo kijana hakuna historia ya Tanganyika iliyosahihi kabla ya ukoloni, nachojua mimi wasomali walikuja Tanzania kama wakimbizi kitokana na mauji waliyokuwa wanafanyiwa na serikali ya kikoloni ya kiingereza na baadaye Rais wa kwanza wa Kenya alikuwa anawaua sana wasomali haswa maeneo ya Garisa, Mandera nk na ndo maana huko hakuna huduma nzuri za jamii ingawa wote ni Wakenya

Naweza nikawa mzazi wako kuniita kijana na muongo ni makosa katika kuchangia hoja umekulia katika maisha ya matusi au
 
Hakuna historia ya miaka 3000 iliyopita hapa Tanganyika

Haya maneno unatoa wapi??

Na hio tanganyika mbona imeshakufa toka 1960s!?

Leo kwa mujibu wa historia tuna records za miaka 5000 iliopita! Tatizo ni kuwa sisi wabantu hatujali historia zetu!

We una habari kuwa wachaga wazanaki wakurya wamasai na makabila mengine km 18 hivi HAWANA ASILI YA TANZANIA?
 
Haya maneno unatoa wapi??

Na hio tanganyika mbona imeshakufa toka 1960s!?

Leo kwa mujibu wa historia tuna records za miaka 5000 iliopita! Tatizo ni kuwa sisi wabantu hatujali historia zetu!

We una habari kuwa wachaga wazanaki wakurya wamasai na makabila mengine km 18 hivi HAWANA ASILI YA TANZANIA?

Hakuna kabila lenye asili ya Tanzania wote walikuja kutoka pande 4 za afrika swala la historia ya miaka 5000 siyo kwa makabila ya Tanganyika
 
Back
Top Bottom