Ukweli hati hiyo hai[o ndio mana walitoa toleo la kwanza kwa kutengeneza ikagundulika na wajumbe kuwa sio halali sasa wamesema wanaleta nyingine bila shaka ni kuitengeneza tena ili wabunge waridhikedah! mbona mi sikumsikia akisema hivyo, alichokisema Steven kwamba hati ya muungano ipo na itawasili Dodoma ndani ya siku mbili
ye sio mjinga aseme hivyo kwamba watatengeneza hiyo hati...
Ukweli ni kwamba hata ile ya kugushi ya mwanzo ni serikali ndio iliwasilisha bungeni sasa wajumbe wasubiri toleo la pili la kugushi piaMimi nilimsikia - alikuwa kama anatishia vile! Eti - nakuhakikishia kwa niaba ya dola, hati zitawasilishwa ndani ya siku mbili hizi! Kwa nini humkuwasilisha siku zote hizo mpaka Lisu alipowachachafya ndio unakuja na vitisho hewa? Sasa mtu akikukwambia kuwa huna hizo hati ila unahitaji siku mbili ukagushi utasemaje?
kwani ile ya mwanzo nani aliwasilisha kama sio serikali? nyie acheni uzuzu hapa kwa nini mwanzo waligushi?Watu wsipotoshe nimemsikiliza tyson wasira wataiwasilisha hati ndani ya siku mbili wabunge watakuwa wameipata si kutengeneza
kwa hiyo we ndio mjinga sio?dah! mbona mi sikumsikia akisema hivyo, alichokisema Steven kwamba hati ya muungano ipo na itawasili Dodoma ndani ya siku mbili
ye sio mjinga aseme hivyo kwamba watatengeneza hiyo hati...
Ok kama ni wao waliwasilisha ile ya mwanzo na sasa Wasira anataka siku mbili awasilishe nyingine, je wamekubali kuwa ile waliyowasilisha mwanzo ilikuwa ya kugushi? Kama jibu ni ndio watu wawajibike kwanza!kwani ile ya mwanzo nani aliwasilisha kama sio serikali? nyie acheni uzuzu hapa kwa nini mwanzo waligushi?
dah! mbona mi sikumsikia akisema hivyo, alichokisema Steven kwamba hati ya muungano ipo na itawasili Dodoma ndani ya siku mbili
ye sio mjinga aseme hivyo kwamba watatengeneza hiyo hati...
Wassira adai kuwa tayari dola inafanya mpango wa kutengeneza hati ya muungano ndani ya siku mbili na kuiwasilisha bungeni punde.
Loooohh, tunataka yenye saini za viongozi wetu hawa wawili, na zionyeshe zimechapishwa mwaka 1964 kwa taipuwriter, saini za wino wa kuchovya, karatasi imeshachoka nk; siyo product ya kughushi toka China!!!
View attachment 151337
Mimi nilimsikia - alikuwa kama anatishia vile! Eti - nakuhakikishia kwa niaba ya dola, hati zitawasilishwa ndani ya siku mbili hizi! Kwa nini humkuwasilisha siku zote hizo mpaka Lisu alipowachachafya ndio unakuja na vitisho hewa? Sasa mtu akikukwambia kuwa huna hizo hati ila unahitaji siku mbili ukagushi utasemaje?