makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Huyu Wassira a.k.a Tyson ni mpuuzi kwelikweli.
Yaani CCM wanashindwa kuelewa maana ya UHAINI kweeeri mura???
Hivi KUIKOSOA SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI KWA MADUDU INAYOYOTUFANYIA WATANZANIA NI UHAINI KWEERI MURA TYSON???
Hivi kusema kuwa DOWANS wasilipwe ni UHAINI mura?
Kuhoji mambo ya UFISADI,MGAWO WA UMEME,MABOMU YA G/MBOTO,HALI NGUMU ZA MAISHA,KUDORORA KWA UCHUMI WETU ni UHAINI KWEERI MURA???
Mura Tyson hapa umechemka. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubaliana na pumba zako hizi. Wewe huna tofauti na M/kiti wako Kiwete aliyekiri kuwa CCM tangu enzi za Mjomba wako Nyerere mpaka sasa mmeshidwa kumaliza matatizo ya Wananchi!
Kwa hiyo CHADEMA wanaposema CCM mmeshindwa kuongoza na hivyo mnapaswa kukaa pembeni msikasirike Mura.
Nakushauri mura Wassira ukakae na Kiwete mpange mikakati ya KUWAONDOLEA KERO WATANZANIA na siyo kupanga namna ya kuwadhibiti CHADEMA. Wananchi wanajua ukweli uko wapi. Kwa hiyo acheni longolongo na siasa za kizamani. Hii ni dunia mpya inayotaka mabadiliko na mageuzi ya haraka ili kufikia malengo na maendeleo waliyojiwekea watu.
Hatutaki ubabaishaji. Wazungu wanamsemo unaosema kwamba,nanukuu,''If you can't stand the heat, get out of the kitchen.'' CCM inaonesha kuwa joto limewalemea, hivyo tokeni jikoni maana hamtaweza kuendelea kuwapikia Watanzania chakula kilichoiva na kitamu. Mking'ang'ania kukaa jikoni mtaendelea kupika vyakula vibichi visivyokuwa na ladha!
Yaani CCM wanashindwa kuelewa maana ya UHAINI kweeeri mura???
Hivi KUIKOSOA SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI KWA MADUDU INAYOYOTUFANYIA WATANZANIA NI UHAINI KWEERI MURA TYSON???
Hivi kusema kuwa DOWANS wasilipwe ni UHAINI mura?
Kuhoji mambo ya UFISADI,MGAWO WA UMEME,MABOMU YA G/MBOTO,HALI NGUMU ZA MAISHA,KUDORORA KWA UCHUMI WETU ni UHAINI KWEERI MURA???
Mura Tyson hapa umechemka. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubaliana na pumba zako hizi. Wewe huna tofauti na M/kiti wako Kiwete aliyekiri kuwa CCM tangu enzi za Mjomba wako Nyerere mpaka sasa mmeshidwa kumaliza matatizo ya Wananchi!
Kwa hiyo CHADEMA wanaposema CCM mmeshindwa kuongoza na hivyo mnapaswa kukaa pembeni msikasirike Mura.
Nakushauri mura Wassira ukakae na Kiwete mpange mikakati ya KUWAONDOLEA KERO WATANZANIA na siyo kupanga namna ya kuwadhibiti CHADEMA. Wananchi wanajua ukweli uko wapi. Kwa hiyo acheni longolongo na siasa za kizamani. Hii ni dunia mpya inayotaka mabadiliko na mageuzi ya haraka ili kufikia malengo na maendeleo waliyojiwekea watu.
Hatutaki ubabaishaji. Wazungu wanamsemo unaosema kwamba,nanukuu,''If you can't stand the heat, get out of the kitchen.'' CCM inaonesha kuwa joto limewalemea, hivyo tokeni jikoni maana hamtaweza kuendelea kuwapikia Watanzania chakula kilichoiva na kitamu. Mking'ang'ania kukaa jikoni mtaendelea kupika vyakula vibichi visivyokuwa na ladha!