Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 123,081
- 232,769
Hii ni kwa mujibu wa Farouk Karim wa ITV , bado haijafahamika hasa wahusika wa tukio hilo .
Taarifa zaidi zitawajia punde ...
=======
Watu wasiojulikana wamechoma moto gari la aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ambaye pia ni Mkurugenzi wa kituo cha redio Bahari kinachomilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) usiku wa manane visiwani Zanzibar.
Taarifa zaidi zitawajia punde ...
=======
Watu wasiojulikana wamechoma moto gari la aliyewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ambaye pia ni Mkurugenzi wa kituo cha redio Bahari kinachomilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) usiku wa manane visiwani Zanzibar.