stujadiliane
Member
- Jun 2, 2017
- 66
- 84
Ukakama wa IGP Siro umewamaliza na kuwakomesha kabisa wale waliopewa jina la wasiojulikana. watanzania laleni usingizi mtamu kula na kunywa Tishio la wasiojulikana halipo tens
Kweli nchi iliingiwa na hofu juu ya jambo hilo ila viva kamanda siro kuwakomesha watu hao wasiojulikana
Kweli nchi iliingiwa na hofu juu ya jambo hilo ila viva kamanda siro kuwakomesha watu hao wasiojulikana