Wasio na Ajira Kuanza Kucheka 2014-2015

Wasio na Ajira Kuanza Kucheka 2014-2015

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Serikali itaanza kumwaga ajira za kutosha kuanzia mwakani hadi July mwaka 2015, taarifa zilizopatikana kutoka serikalini ni kwamba kumekuwa na maneno maneno sana kuwa vijana ni bomu linalosubili kulipuka sasa kutokana na plan za serikali ni kwamba ajira ambazo zitatoka randomly ni za U-polisi, Jeshi, walimu, madaktali, wanasheria, maafisa kilimo nk. hii itakuwa ni kuwasahulisha vijana na ugumu wa kukaa mtaani bila kazi na kupata kura zao.

Kwa sasa takwimu za serikali zinaonyesha kuwa vijana wa vyuo vikuu wengi hawana ajira na wale waliomaliza kidato cha nne na kutobahatika kuendelea ni wengi sana kitu ambacho serikali inataka kukipunguza.

List ya watakaopata ajira ni ndefu lakini lengo si kumaliza tatizo bali kupunguza tu, ni katika hali hii Mgombea wa mmoja ataanza kusema kuwa nichagueni mimi niendeleze kazi iliyoanza kufanywa na mwenzangu!
source: mimi mwenyewe hapa wizarani.
 
Mishahara itaboleshwa au ni hihi?
Pia msije kaajiri watu wengi alafu mkashindwa kulipa mishahara.
 
Ili wapige kura 2015 kwa raha na bashasha wakiwa na ajira kweli hii ni zaidi ya ile takrima
 
Hiyo nayo ni BRN? changa la macho tu hili hakuna jipya! wadanganyeni wasioijua serikali ya ninyinenu
 
Ukichukiwa umechukiwa tu! Ni -------- tu ndiye atakayekubali kudanganywa kwa mfumo huu! Kuajiriwa ni haki ya mtu provided nafasi ipo na anakidhi vigezo! Kuna nafasi nyingi huku wilayani watu wanakaimu tu na kushika vyeo viwili viwili.
 
Serikali itaanza kumwaga ajira za kutosha kuanzia mwakani hadi July mwaka 2015, taarifa zilizopatikana kutoka serikalini ni kwamba kumekuwa na maneno maneno sana kuwa vijana ni bomu linalosubili kulipuka sasa kutokana na plan za serikali ni kwamba ajira ambazo zitatoka randomly ni za U-polisi, Jeshi, walimu, madaktali, wanasheria, maafisa kilimo nk. hii itakuwa ni kuwasahulisha vijana na ugumu wa kukaa mtaani bila kazi na kupata kura zao.

Kwa sasa takwimu za serikali zinaonyesha kuwa vijana wa vyuo vikuu wengi hawana ajira na wale waliomaliza kidato cha nne na kutobahatika kuendelea ni wengi sana kitu ambacho serikali inataka kukipunguza.

List ya watakaopata ajira ni ndefu lakini lengo si kumaliza tatizo bali kupunguza tu, ni katika hali hii Mgombea wa mmoja ataanza kusema kuwa nichagueni mimi niendeleze kazi iliyoanza kufanywa na mwenzangu!
source: mimi mwenyewe hapa wizarani.
hongera kwa kujifariji inaonekana dhshiri ni mtafuta kazi teh teh teh
 
Kwa muziki wa cdm unaowanyima kbs usingizi,ccm wanaweza kuwalaghai watz kwa hilo,kwani imani ya watz kwa ccm ilishakwisha! Ngoja tusubiri tuone kwani hata mimi ni mhanga wa ajiraless!
 
MAMBO MENGINE NI KWELI NA MENGINE NI POROJO. SASA SIJUI HILI KAMA NI LA KWELI AU POROJO. Wapeni vijana mitaji. ajira zinawashinda wanaishia kukopa tu
 
Serikali itaanza kumwaga ajira za kutosha kuanzia mwakani hadi July mwaka 2015, taarifa zilizopatikana kutoka serikalini ni kwamba kumekuwa na maneno maneno sana kuwa vijana ni bomu linalosubili kulipuka sasa kutokana na plan za serikali ni kwamba ajira ambazo zitatoka randomly ni za U-polisi, Jeshi, walimu, madaktali, wanasheria, maafisa kilimo nk. hii itakuwa ni kuwasahulisha vijana na ugumu wa kukaa mtaani bila kazi na kupata kura zao.

Kwa sasa takwimu za serikali zinaonyesha kuwa vijana wa vyuo vikuu wengi hawana ajira na wale waliomaliza kidato cha nne na kutobahatika kuendelea ni wengi sana kitu ambacho serikali inataka kukipunguza.

List ya watakaopata ajira ni ndefu lakini lengo si kumaliza tatizo bali kupunguza tu, ni katika hali hii Mgombea wa mmoja ataanza kusema kuwa nichagueni mimi niendeleze kazi iliyoanza kufanywa na mwenzangu!
source: mimi mwenyewe hapa wizarani.

Hizo ni kazi zinazopitia tume ya ajira,by the way watakuwa hajasolve tatizo maana kama hizo ajira zinasubiriwa mwaka 2015 sasa hawa ambao hawana itabidi wajumlishwe na wahitimu wa vyuo vya mwaka 2014 na 2015 bado patakuwa hapatoshi
 
Kama kawaida yetu, uchaguzi ukikaribia huwa tunatoa ahadi za moyoni..!
 
Yawezekana kweli, kwa sababu kuna wahitimu wa mwaka huu 2013 wengi tu kutoka udsm mimi nikiwemo tumepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha anatoka utumishi, alitaka kujua kama tumeshapata ajira au la nilipo mwambia sina alisema nisubiri wakati wowote nitaitwa nitaitwa. nilihofia kwamba anaweza kuwa tapeli lkn kulingana na uzi huu sasa naweza kuanza kuamini.
 
Mishahara itaboleshwa au ni hihi?
Pia msije kaajiri watu wengi alafu mkashindwa kulipa mishahara.

Maboresho ya mishahara yanategemea maboresho ya uwajibikaji na maboresho ya umakini kazini,
 
Back
Top Bottom