Kuna tabia huwa siielewi kutoka kwa watu tunaoamini ni wataalam!
Afisa wa polisi anaposimamisha basi na kuhoji abiria mbele ya dereva kwamba "Wanaonaje mwenendo wa dereva"
Sijui huwa unatarajia jibu gani jingine zaidi sifa njema kwa dereva!
Hata kama lengo ni zuri lakini ukikosea namna ya kulifikisha navyoamini huleta majibu ya uongo
abiria gani atathubutu kumsema vibaya dereva akiwepo hapo wakati ndiye anmtegemea asafiri naye hadi mwisho wa safari? Kwanini wasinge kuwa wanawaamuru madereva washuke chini ili wawahoji abiria kwa uhuru?
HILO SIYO KWA MAAFANDE TU...
Hata mashuleni wasimamizi wa mitihani ya kitaifa wanapotekeleza majukumu ya usimamizi
Huwa kuna wakaguzi (afisa elimu) wanapita kila shule kukagua mwenendo wa mitihani!
Mbele ya msimamizi Watoto huulizwa na AFISA ELIMU Kwamba mnaonaje MSIMAMIZI WENU anavyowasimamia vibaya au vizuri? amewapatia mtihani ukiwa sawa? n.k
Maswali kama hayo watoto unapowauliza mbele ya msimamizi unategemea watajibu nini tofauti?
Afisa elimu anahoji watoto mbele ya mwalimu wao kwamba! WALIMU WENU HUWA WANAACHANGISHA mia 200 za mitihani kila wiki?
maswali ya sampuli hiyo kama mkaguzi mwenye weledi unapowahoji watoto mbele ya mwalimu wao huwa wanategemea nini?
madodoso ya kutafta taarifa inaonekana bado ni changamoto kubwa sana!
Mambo tunayokutana nayo wananchi huku chini yanafika huko juu yakiwa na taswira tofauti kabisa kutokana na ukosefu wa weledi wawasimamizi
Mfano! Kuna mitihani ya darasa la nne inaendelea nchini; Baadhi ya shule wamechangisha kila mtoto elfu 6 had elf 10 ya chakula kwa kila mtoto!
lakini watoto wamepatiwa robo kikombe cha chai ya rangi,na viandazi viwili asubuhi, mchana watoto wamekula kifinyango kimoja cha nyama na ubwabwa mbaaya! eti wapishi ni watoto wenzao wa darasa la sita kwa kushirikiana na jimama ntilie! serious?
Majanga ya kiafya yakitokea serikali inakuwaga haina taarifa kwasababu haina weled wa kupata taarifa! maafisa hawana weledi kwenye kazi zao wanafanya bora liende tu!
Leo nimezunguka baadhi ya shule Ugindoni primary, mjimwema, raha leo zilizopo kigamboni Nimegundua madudu hayo!
Tena kama pale shule ya msingi Ugindoni watoto wanachangishwa michango mingi sana na wanaambiwa akija mkaguzi watoto wasiseme kama wanachangishwa!
WATAALAM TUMIENI MBINU KUPATA TAARIFA
Afisa wa polisi anaposimamisha basi na kuhoji abiria mbele ya dereva kwamba "Wanaonaje mwenendo wa dereva"
Sijui huwa unatarajia jibu gani jingine zaidi sifa njema kwa dereva!
Hata kama lengo ni zuri lakini ukikosea namna ya kulifikisha navyoamini huleta majibu ya uongo
abiria gani atathubutu kumsema vibaya dereva akiwepo hapo wakati ndiye anmtegemea asafiri naye hadi mwisho wa safari? Kwanini wasinge kuwa wanawaamuru madereva washuke chini ili wawahoji abiria kwa uhuru?
HILO SIYO KWA MAAFANDE TU...
Hata mashuleni wasimamizi wa mitihani ya kitaifa wanapotekeleza majukumu ya usimamizi
Huwa kuna wakaguzi (afisa elimu) wanapita kila shule kukagua mwenendo wa mitihani!
Mbele ya msimamizi Watoto huulizwa na AFISA ELIMU Kwamba mnaonaje MSIMAMIZI WENU anavyowasimamia vibaya au vizuri? amewapatia mtihani ukiwa sawa? n.k
Maswali kama hayo watoto unapowauliza mbele ya msimamizi unategemea watajibu nini tofauti?
Afisa elimu anahoji watoto mbele ya mwalimu wao kwamba! WALIMU WENU HUWA WANAACHANGISHA mia 200 za mitihani kila wiki?
maswali ya sampuli hiyo kama mkaguzi mwenye weledi unapowahoji watoto mbele ya mwalimu wao huwa wanategemea nini?
madodoso ya kutafta taarifa inaonekana bado ni changamoto kubwa sana!
Mambo tunayokutana nayo wananchi huku chini yanafika huko juu yakiwa na taswira tofauti kabisa kutokana na ukosefu wa weledi wawasimamizi
Mfano! Kuna mitihani ya darasa la nne inaendelea nchini; Baadhi ya shule wamechangisha kila mtoto elfu 6 had elf 10 ya chakula kwa kila mtoto!
lakini watoto wamepatiwa robo kikombe cha chai ya rangi,na viandazi viwili asubuhi, mchana watoto wamekula kifinyango kimoja cha nyama na ubwabwa mbaaya! eti wapishi ni watoto wenzao wa darasa la sita kwa kushirikiana na jimama ntilie! serious?
Majanga ya kiafya yakitokea serikali inakuwaga haina taarifa kwasababu haina weled wa kupata taarifa! maafisa hawana weledi kwenye kazi zao wanafanya bora liende tu!
Leo nimezunguka baadhi ya shule Ugindoni primary, mjimwema, raha leo zilizopo kigamboni Nimegundua madudu hayo!
Tena kama pale shule ya msingi Ugindoni watoto wanachangishwa michango mingi sana na wanaambiwa akija mkaguzi watoto wasiseme kama wanachangishwa!
WATAALAM TUMIENI MBINU KUPATA TAARIFA