Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Wakuu
Naomba mwenye wasifu wa kutosha kwa wagombea wa Arumeru Mashariki atutupie hapa ili tunapochangia wote tuwe na uelewa mpana (na si ushabiki tu!!)na pindi tu mmojawapo atakapoingia mjengonu ili itusaidie katika kufanya uchambuzi yakinifu iwapo wana tunu njema si tu kwa wana Arumeru bali kwa Taifakwa ujumla maana tumeshuhudia wabunge wa Taifa wengi tu kwa sasa akina Januari, Zitto, Kafulila, n.k .
Naomba mwenye wasifu wa kutosha kwa wagombea wa Arumeru Mashariki atutupie hapa ili tunapochangia wote tuwe na uelewa mpana (na si ushabiki tu!!)na pindi tu mmojawapo atakapoingia mjengonu ili itusaidie katika kufanya uchambuzi yakinifu iwapo wana tunu njema si tu kwa wana Arumeru bali kwa Taifakwa ujumla maana tumeshuhudia wabunge wa Taifa wengi tu kwa sasa akina Januari, Zitto, Kafulila, n.k .