Wasifu wa Mama Salma Kikwete

Wasifu wa Mama Salma Kikwete

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa ameona watu wengi wameukumbuka utawala wa JK uliojaa utu hivyo ameona awaridhishe watu kwa njia hii. Pamoja na kwamba aliingia kwa mkwara wa kuuaminisha umma kwamba yeye ni bora kuliko aliyepita lakini mwenendo wake umedhihirisha kwamba hatii mguu kwa mtangulizi huyo. Kila kukicha watu wanamkumbuka JK. Huyu jamaa atakapoungana nasi uraiani sidhani kama ataheshimika kama walivyo baadhi ya watangulizi wake.
Halafu ninyi ni wanafiki sana. Mh. Rais mwenyewe hajawahi mbana Rais Mstaafu hata mara moja hata mara mija pamoja na mapungufu kadhaa. ikiwa pamoja na kuwaacha watu wafanye wanavyotaka wakadhani kuwa ndio ur=taratibu wenyewe!
 
Mwana: Vipi mbona umekasirika? Mbona una rukaruka kama umeumwa na siafu sehemu nyeti? Sisi hatupingi Salma kuteuliwa ila Bwana yule anajikomba kwenye familia hii baada ya jaribio lake la kuidhalilisha ili yeye aonekane bora kushindwa. Hata Paulo ambaye ni 'mtoto' wa Bwana yule, tena mtoto aliyedekezwa,alikuwa na agenda ya kumdhalilisha Ridhiwani kwenye agenda yake mfu ya madawa ya kulevya. Now why Bashite is not submitting his original certificate for approval? Kumbe uhakiki wa vyeti bandia ulilenga watu fulani tu. I think even you (mwana) you are aware that Bashite has something wrong with his school/college/university certificates.
 
Hapo Ndio umejibu? Unajua kazi anayoenda kuifanya ina impact gani kwenye maisha yako na kizazi chako?
Kama wewe impact gani umewahi kuipata katika maisha yako na kizazi chako?kwangu mm naona ni -ve zaidi kila kitu wanasema ndio tu.
 
Mke wa Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwalimu kitaaluma.
Mama wa taifa kwa kipindi cha miaka 10.
Mwanzilishi wa taasisi ya WAMA iliyojishughulisha na maendeleo ya kina mama katika nyanja tofauti mf. elimu
Mama wa Mh. Mbunge wa Chalinze Mwanasheria Ridhiwani J.Kikwete.
Mjumbe wa mkutano mkuu CCM
Salma kikwete sio Mama yake mzazi ridhiwani... Huyo ni Mama wa kufikia
 
Una kusaidia nn huo wasifu wake pambana na maisha yako ya mtu muachie mwenyewe na mungu wake.
....huko kwenu kilo ya unga imefikia kiasi gani, kwetu hapa ni Tsh. 1,100/-
 
Watu hawana ajira alafu nafasi ya kazi inapatikana wanapewa watu waliokula hii nchi miaka zaid ya kumi unaacha walala hoi waliosoma kwa mikopo wapo mitaani hawana kazi
 
Mke wa Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwalimu kitaaluma.
Mama wa taifa kwa kipindi cha miaka 10.
Mwanzilishi wa taasisi ya WAMA iliyojishughulisha na maendeleo ya kina mama katika nyanja tofauti mf. elimu
Mama wa Mh. Mbunge wa Chalinze Mwanasheria Ridhiwani J.Kikwete.
Mjumbe wa mkutano mkuu CCM
Mbune wa Kuteuliwa wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
 
Huyu jamaa ameona watu wengi wameukumbuka utawala wa JK uliojaa utu hivyo ameona awaridhishe watu kwa njia hii. Pamoja na kwamba aliingia kwa mkwara wa kuuaminisha umma kwamba yeye ni bora kuliko aliyepita lakini mwenendo wake umedhihirisha kwamba hatii mguu kwa mtangulizi huyo. Kila kukicha watu wanamkumbuka JK. Huyu jamaa atakapoungana nasi uraiani sidhani kama ataheshimika kama walivyo baadhi ya watangulizi wake.
Mkuu Kihava, JK alitukanwa sana mpaka akaitwa Vasco da gama. Aliitwa mpole na majina rundo ya aina hiyo.

Labda ni kwa sababu JPM kaziba mianya yote ndio maana hata yule "mbaya" wa zamani, leo hii anaonekana mwema.
 
kaona anaenda nyumbani kwao LINDI akaona kwanza amteue.
ni aibu mke wa Rais mstaafu kuanza kurandaranda huko na huko.....mara bungeni, mara ziara na vikao vya kamati za bunge ndani na nje ya nchi.
Atamuhudumia saa ngapi mzee wetu.
Salma anamzidi elimu na hekima Mama nyerere, mama Siti mwinyi, mama Anna MKAPA?
 
JPM atengue uteuzi wake amwache amtunze mzee kikwete.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom