Makamanda samahani jamani sina nia ya kumpaisha huyo bwana Nyakarungu ndie nani haswaa? ana wadhifa gani chadema? mwenye CV yake atuwekee hapa tupate kumjua mi binafsi hata simjui na sijawahi kumsikia ndio kwanza leo nasikia anatangaza uasi......
Makamanda samahani jamani sina nia ya kumpaisha huyo bwana Nyakarungu ndie nani haswaa? ana wadhifa gani chadema? mwenye CV yake atuwekee hapa tupate kumjua mi binafsi hata simjui na sijawahi kumsikia ndio kwanza leo nasikia anatangaza uasi......
Ni mdudu fulani mwenye njaa muda wote,ukiingia facebook utaona post zake nyingi ni za kumsifia Kikwete na kuiponda Chadema,afu nae anajiita mwana CDM kama ZZK!njaa tupu huyo,angalia hata bandiko lake utamuelewa ni mtu mwenye upeo gani