Kisa kafunga bar ilokuwa inajaza mashoga na machangu...tukosoe pale mtu anapokosea sio kilajambo. Hakuna bar yenye kibali cha kufanya biashara chafu,Kama mmiliki kashindwa kusafisha baa yake afungiwe mpaka atapoleta mkakati unaoeleweka wa kusafisha baa yake. Nawaagiza wakuu Wa wilaya kote nchini wasimamie hili!!
watetezi Wa ujinga wakidai vyeti/Cv waambieni waende kumwuliza aliyewateua.