Wasifu wa Ally Salum Hapi

Mbona mkiombwa ya yule mwenye Diploma ya hoteli Management hamleti tunaomba CV ya Lema

Kama uliwahi kumwomba ukaikosa, labda alikuwa hana! Ila kama unayo hiyo anayotaka mpatie, wewe mpe tu wala hutakufa, then uone atakachoifanyia. Otherwise umemjibu mleta mada kijinga sana. Be a man..........!
 
Umeulizwa CV unaleta majungu...
 
Mimi nabashiri, huyu jamaa lazima atakuwa ameungaunga....haiwezekani, yani hawa wateule wa raisi Magufuli ni majanga kwa kweli.
 
Jamaa anashule nzuri tuu tatizo anafata speed ya mtukufu kupalilia tonge
 
Majanaume mambeya hayo ndo huwa ganamegewa kwa tabia za kike
 
Haha hahaha hahaha inamaana mtoa post unahisi jamaa nae kafoji cheti ? Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…