Wahi kituo cha kati utapata kila kitu hukoKama kichwa kinavyoeleza, msaada please
Nadhani ni Cirro Fellala beki wa zamani wa Ressoneli...Siro ndo nani
Turushie CV ya baba yako kwanza ,tusipende kila wakati kutaka kujua elimu ya mtu ataka kama ukijua itakusaidia nini ,ukiwa na elimu haimaanishi unajua kila kitu .Kama kichwa kinavyoeleza, msaada please
Sirro ni kamanda mkubwa.
Bila shaka atakuwa anamiliki shahada ya kwanza
Ana uzoefu mkubwa kwenye kazi yake kama alivyosema yeye mwenyewe juzi kuwa yeye ni kachero mzoefu.
Ukiona mtu ana cheo kwenye haya majeshi ujue ni kweli anastahi na wala hutakiwi kuhoji. Kuna sehwmu za kufoji vyeo ila sio kwenye majeshi..
Kwa hiyo sirro ni kamanda wa uhakika mwenye uzoefu na kazi yake.
Cv itasaidia nini ukishaipata?
Kama kichwa kinavyoeleza, msaada please
Wana amini elimu ni ndio kila kituCv itasaidia nini ukishaipata?
Nijuavyo mm,ni mmoja wa Magraduate wa Kwanza kabisa Kuingia Jeshi la Polisi alimaliza UDSM mwanzoni mwa miaka ya '90!
Ni product ya Tasamaganga High School na alikuwa HP wakati huo.Huyu kasoma Uru Seminary sometimes back