Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

Asante kwa mchango huu
 
Watz tunachukiana sana, umaskini umedhoofisha kufikiri kwetu. Hata maofisini hizi roho mbaya zipo. Mtu amesoma lakini kuona kwake ni mufilisi kabisa
Hili la maofisini limenigusa kabisa.....daaa sisi ngozi nyeusi sisi.......Mungu anatuona
 
Twaha Ulimwenge ni bidha adimu,na itachukua kalne mmoja kupata mtu sampuli hii.Hataki quick fix,ila anataka binadamu ajitambue kabla ya kufungua mdomo auganishe ubongo wake kwaza,mimi siyo Mark Antony ila ujumbe umefika.
Nimekuelewa mkuu
 
Ukisoma vizuri humu humu utapata majibu ya swali lako. Soma kwa ufasaha usiruke na kudharau post ya Member yoyote na utapata majibu.
Nimekuuliza wewe... kwanini nisome humu humu wakati nafahamu kila mmoja atakuwa na jibu lake?

Narudia swali langu: Ana visasi dhidi ya nani na kwa sababu zipi?!
 
Siyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Uzalendo ni nini bandugu? Au inategemea umelalia upande gani?
 
Kweli mkuu,au hawajui historia ya wabantu,sema nimesahau tu but wenyeji wa asili kabisa wa hapa tz ni kabila moja au mawili tu,wengine wote wakuja.
 
Twaha Ulimwengu anayo haki kuwa RAIA wa Tanzania kwa kuzaliwa ( right to citizenship by birth) haki ambayo mi na we tunayo. Ingawa ilidaiwa kuwa wazazi wake hawakuwa na asili ya Tanzania, bado hilo haliwezi kumnyima haki ya uraia wa Tanzania. Hata hivyo taarifa ilikuja kubainika kuwa Ulimwengu alikuwa anahold uraia wa nchi nyingine kama sikosei ni Rwnda au Burundi ambako ndiko ilikuwa asili ya wazazi wake. Jambo hilo kwa sheria za Tanzania lilimnyima haki ya kuendelea kuwa RAIA wa Tanzania, pamoja na kwamba alikuwa na haki hiyo kwa kuzaliwa(right by birth). Jambo hill lilimhitaji Ulimwengu kuukana uraia wa nchi nyingine na kuomba upya uraia wa Tanzania. Kutokana na misimamo yake ya kuikosoa serikali hapo ndipo wabaya wake serikalini wakashikilia kwa kumzungusha kupata haki ya kuwa RAIA wa Tanzania, hata kutaka aondolewe nchini. Ilibidi kukata vibali vya muda na baada ya wadau kuukosoa sana msimamo wa serikali ndipo baadae maombi yake yalipokubaliwa. So he is legally a citizen of Tanzania right now as we speak
 
Ni mrundi sio mtanzania
 
Twaha Ulimwenge ni bidha adimu,na itachukua kalne mmoja kupata mtu sampuli hii.Hataki quick fix,ila anataka binadamu ajitambue kabla ya kufungua mdomo auganishe ubongo wake kwaza,mimi siyo Mark Antony ila ujumbe umefika.
Kalne=Karne.

Ni muhalifu ndio maana kakimbilia chadema, ambako ndio kuna genge la wahalifu, ukiwa jambazi, muuza unga, teja,mwizi, mmbakaji, muuza viwanja vya watu n.k we kimbilia chadema utawekewa wakili.
 
Kwa ufupi Jenerali Ulimwengu ni mmoja ya watu makini kupata kutokea nchi hii kama sio dunia hii. Nina heshma kubwa kwa nguli huyu. Na mpaka sasa hajawahi kuniangusha.
Kwangu huyu binadam ni zaidi ya mwalimu.
 
Chadema akili zenu fupi sana yaani mtu hata akiwa zuzu mtamwagia sifa zote ilimradi akija upande wenu,tatizo hata hamjiulizi kwa nini kaja kwetu mlivyo mazuzu
Kama nyie zilivyo fupi kama njia ya chooni unavyoona hii nchi isingekuwa na upinzani ingekuwaje? Jiulize ndio uandike humu.
 
Chadema akili zenu fupi sana yaani mtu hata akiwa zuzu mtamwagia sifa zote ilimradi akija upande wenu,tatizo hata hamjiulizi kwa nini kaja kwetu mlivyo mazuzu
Je, una uhakika gani kama aliyeandika hii comment ni chadema? Generali ulimwengu hawezi kufahamika kwa kizazi cha sasa cha mwendo kasi. Watu tuliokuwa vijana wa TYL miaka ya sitini na sabini tunamjua saana. Muulize mzee Kikwete, waulize wana Tanu wote na jinsi vijana kama Ulimwengu walivyoiletea sifa nchi hii? Mtu zuzu asingeteuliwa kuwa Mwakilishi wa nchi nje hasa enzi hizo ambazo hazikuangalia umetoka familia gani na una nini. Tufanye research sisi tuliokuwa vijana wa TYL from sixtees na nyinyi mnajifanya wana CCM sasa nani ana uchungu wa nchi?
 
Mrundi , mrundi rundi
Tunaomba utoe background ya vizazi vyako vitano vilipotokea hapa mtandaoni na kabila lako ndo tukujue wewe mtanzania. Yawezekana wewe ni indigenous lakini huna faida kwa mtu yeyote lakini mtu ambaye babu zake walitokea mbali lakini wakafaidisha taifa. Jamal, Waziri wa kwanza wa Afya walikuwa wenye asili ya wapi na Je, Mwalimu unajua vizazi vyake asili yake? Think before you jot.
 
Wape elimu hawa makaburu uchwara
 
Siyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Duh! Nadhani hata mimi sio mzaledo,maana hao unawaita wanafiki mimi kwangu ndio wazalendo wa kweli.
 
Ni kweli, jamaa sio mtanzania halisi...ila kwakuwa ni kada basi ndo hivyo.
Mtanzania halisi ni nani? Ukitaka ujue kama ni Mtz au sio tofautiana na wakubwa utaona. Sheria za nchi zinasema mtu yeyote aliyezaliwa Tanganyika kabla ya Uhuru na alikuwepo nchini Tanganyika siku ya Uhuru ni Mtz. Mr. Mo yule kwao ni India, hata rangi inasema, kwa nini hakujavuliwa uraia, Wenje, nadhani mnafahamu alipogombea, alivuliwa uraia. Watz tunachukiana kwa sababu za kisiasa. Not good at all, tubadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…