Jamaa halembi ameukamatia muua
Kitu ngogwe nazipenda sana hasa zile za kuchoma, unaichoma kwa moto wa mkaa unazitoa unakula na pilipili nzur kweli au unazutafuna mbichi
ishakua too much ebu acheni huu utoto,,naanza kuwadharau wote mnaoleta thread za wanaume wa dar,, ishaisha ladha inaboa sana nahs mna hormone za kike nyie...
Hahahaaah kama lipi??Ila mengine mnatuonea!
Hahahaah don't take everything seriously boss. These are just jokes zinazotupunguzia stress za maisha.ishakua too much ebu acheni huu utoto,,naanza kuwadharau wote mnaoleta thread za wanaume wa dar,, ishaisha ladha inaboa sana nahs mna hormone za kike nyie...
Hio ni ubungo matAa.., kuelekea chuo pale mawasiliano...ule mlima kule ni kifusi cha pale tanethkoHuyo Jamaa wa Mua Naomba kujua Ni dar sehemu gani yenye mlima wa hivyo Kabisa!
Ha ha ha ha haaa!! Real?Hio ni ubungo matAa.., kuelekea chuo pale mawasiliano...ule mlima kule ni kifusi cha pale tanethko