Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Wana swaga za kishamba na njaa kali ukimsalimia tu anageuka yatima anakufanya foundition au NGOs wanajiabisha kwakweli. Swagga hizo wakawale wengine lakini sio hapa mjini Dar es Salaam, wamefeli wabadilike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app