Wasichana watekwa na Boko Haram

Wasichana watekwa na Boko Haram

Status
Not open for further replies.
Ni wiki ya pili sasa tangu wanamgambo wa Boko haram wavamie shule na kutoweka na wanafunzi wa kike zaidi ya 223. Mpaka sasa haijulikani kama wanafunzi hao wako hai au laa. Sasa swala kujiuliza: Ile ndege ya malaysia ilipotoweka ikiwa na abiria zaidi ya 200 tuliona dunia nzima ime react, ikijitolea kwa hali na mali,na sasa wamehamua kuitafuta kwa mwaka mmoja Mwaka 1 kuitafuta ndege ya Malaysia - BBC Swahili - Habari. Lakini kwa hili tukio la Nigeria hatuoni hata kama tukio limetiliwa umuhimu katika vyombo vya habari. Humu duniani inaonekana kuna double standard. Mimi nilitegemea vyombo vya kipelelezi na majeshi kadhaa wangeisha kwenda Nigeria ili kuweka nguvu katika kuokoa hao watoto. Huko waliko haijulikana kama kweli wanapewa chakula maana ni wengi kuwalisha katika maficho, au wameuawa na kuzikwa kwenye kaburi la pamoja, haijulikana. Very sad

Hapa duniani kuna:

(1)watu (wao)
(2)viwatu (sisi)
 
CIA ndio boko haram na kamwe hutasikia mission zao zikikwama mpaka mafuta yaishe! Wanaifanya serikali kuwa bussy kupambana na hicho kikundi halafu wao wanachota mafuta. Ndio maana huko nigeria wamebatizwa jina la boko CIA haram. Wanafanya watakavyo jiulize nguvu na siraha wanazipata wapi

Aisee, Al queda ni CIA, Boko haram ni CIA. Tired of street stories, evidence please
 
Nchi za Ugaibuni zina jitihada kubwa kupunguza idadi ya watu ili wa-simplify colonization.
Fikiria swala la uzazi wa mpango linaua maelfu ya akina mama kwa kansa ama ya kizazi au maziwa.Mbona kwao hakuna sera hizo?
Waafirika tupungue wao wao wafahidi.
Tujipange kutopokea misaada.
 
Marekani wametoa msaada wa kuwatafuta hao watoto
source ITV
 
Nilikuwa nasikiliza bbc wanasema inasemakana watoto wale wameuzwa kw wapiganaji kwa dola 1200 kwa kila mtoto.mod tafadhal msiopeleke huu uzi kwenye jukwaa la international
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom