Jerick06
Member
- May 2, 2014
- 51
- 15
Huko Nigeria Wasichana 234 wametekwa , 46 wamefanikiwa kutoroka, lakini 188 mpaka sasa awajulikani walipo. Kiongozi wa Boko Haram, Abubakar Shekau kupitia video amesema wasichana wawili wameshafariki kutokana na kugongwa na nyoka.
Madai ya Boko Haram ni kupingwa kwa elimu kwa mtoto wa kike, wakisema mtoto wa kike atakiwi kujua kusma wala kuandika bali ni kukaa nyumban kwaajili ya kujifunza malezi peke yake.
HASHTAG nyingi katika mitandao ya kijamii za kulitaka kundi ilo kurejesha watoto hao wa kike zikisema #BRINGBACKOURGIRLS
Sambaza neno ili kwaajili ya Wasichana hao na kupinga ukatili.
Madai ya Boko Haram ni kupingwa kwa elimu kwa mtoto wa kike, wakisema mtoto wa kike atakiwi kujua kusma wala kuandika bali ni kukaa nyumban kwaajili ya kujifunza malezi peke yake.
HASHTAG nyingi katika mitandao ya kijamii za kulitaka kundi ilo kurejesha watoto hao wa kike zikisema #BRINGBACKOURGIRLS
Sambaza neno ili kwaajili ya Wasichana hao na kupinga ukatili.