Wasichana /Wanawake wenzangu

Mumeo ana raha sana.
Dalili zinajionyesha wazi kabisa.
Naomba kama hutajali unitolee mfano wa msimamo anaopaswa kuwa nao mwanamke.
 
Mumeo ana raha sana.
Dalili zinajionyesha wazi kabisa.
Naomba kama hutajali unitolee mfano wa msimamo anaopaswa kuwa nao mwanamke.
Kujisimamia katika mambo ya msingi ila si jeuri wala kiburi kwa mume. ukimfanyia kiburi au jeuri mwisho wa siku wewe mwanamke ndo utaumia make wenzetu hawa mungu aliwapendelea sana
 
Kujisimamia katika mambo ya msingi ila si jeuri wala kiburi kwa mume. ukimfanyia kiburi au jeuri mwisho wa siku wewe mwanamke ndo utaumia make wenzetu hawa mungu aliwapendelea sana
Kujisimamia katika mambo ya msingi ila si jeuri wala kiburi kwa mume. ukimfanyia kiburi au jeuri mwisho wa siku wewe mwanamke ndo utaumia make wenzetu hawa mungu aliwapendelea sana
Upendeleo mkubwa tuliopewa wanaume ni kuwa na mamlaka mapana ya kuchagua tunachopendezwa nacho.
Wanawake husubiri wadondokewe na bahati, kwa. Maana hiyo hiyo mapungufu ya mdondo ndio mtihani wao!! Wakijikweza hujikuta wamerudi nyuma ground zero kula mitongozo ya masela na kutestiwa mpaka na mateja uchwara.
 
Nimemuacha mahali anafanya scrub
Weekend sio?? Akimaliza unampitia mkafanye yenu?? Hongereni na pendaneni toka moyoni na upendo wenu ukapate kudumu milele na milele amina
 
Kitu kingine sisi tukishazaaga ndokwisha kabisa yani. Lakini wanawake niwale wale mjue hata huyo unaekutana nae ukamtamani mwisho wa siku atakua kama yule wakwanza tu.. Sema nasisi nao sometimes tunajiweka rafu sana. Hapa dawa ni kujiweka swafi na vizuriiiiii
 
Kama yupo mwanamke mwenye vigezo hivyo hapo juu, Naomba ajitokeze tukamuweke Kwenye MAKUMBUSHO YA TAIFA kwasababu atakuwa ni hazina kubwa sana iliyobaki
hahaahahahaha

mm mwenyewe natafuta mwenye tabia hzo tuyajenge lakin wap mpaka nasemaga i will marry when I want because beautiful once is not yet born
 
Kama yupo wa hivi, haraka sana apewe ulinzi kama wa falu john[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mwanamke aliyezaa ndiye mwanamke msweet kwa bed, maana anao uwezo wa kufikia lengo la shughuli ikiwa atashughulishwa kwa mikogo stahiki, ambao hawajazaa huwa hawajui wanafanya nini kwa kitanda, wanajirusharusha tu!! Kufika kileleni ni nadra sana kwao.
Kumshuhudia mwanamke anafika kileleni nayo ni raha bab kubwa.
(kulialia kwa wanawake kwa bed kunatokana na hiyo base)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…