machangudoa kichenzi awatosheki
Wengi ni mapepe halafu wapo kipesa zaidi.
na wanafiki kupita maelezo.
Jamani nakuombeni msaada wenu. Kuna jamaa yangu kaniulizia habari za mabinti wa kipare baada ya kusoma za wasichana wa kichaga. Sasa yeye lengo lake ni kujua tu labda mambo muhimu kama sifa zao hawa wapare kama wake. Je wanastahimili hali ya uanamke ndani ya nyumba au nimemshauri akaangalie kwingine
Tuwe fair. Last time nilimshauri rafiki yangu mmoja kuwa akiangalia sana sura anaweza kwenda kuwaoa wairaqw lakini ajiandae kwa kuteswa na mke kwakuwa wale jamaa nje wanaachia sana.
Best
Wakarimu, Wasafi, Wana Heshima, Wapenda maendeleo, Wachapa Kazi, Wavumilivu, Wapole.........:welcome:
Ni maharage ya mbeya!
Ni maharage ya mbeya!
Huwa wanahuruma sana hivyo lazima utasaidiwa tu
kina nani?
Ndo maana najikalia lile jukwaa tu:crying::crying:
Akina walioulizwa