Wanaujuzi mkubwa wa mapenzi ila wanauficha sababu mambo ya mapenzi ni very personnal. Sio mambo ya kuweka hadharani kwao... But I am talking in general hapa, kuna exception kidogo.Ni warembo sana,wapole na wana heshima kupita maelez0
boyfriends wanatambulishwa kama kaka, wajomba nk, kama umewaowa. Na mimi nasikiaga tuany details kuhusu watu hawa.please help,am dead of clarification.
Labda hiyo ndo heshima kwao,pia waishi kwa heshima mno na waume zao,kwao hakuna divorce,ni wavumilivu kupita kiasi,Ma belle mère est Rwandaise(tutsi)jamani kwa heshima naona kama vile kapitiliza.Wanaujuzi mkubwa wa mapenzi ila wanauficha sababu mambo ya mapenzi ni very personnal. Sio mambo ya kuweka hadharani kwao... But I am talking in general hapa, kuna exception kidogo.
Ndio heshima yenyewe hiyo Fe Lady... yaani kama wamkiamua kuolewa, they are 'professional wives' tuseme.Labda hiyo ndo heshima kwao,pia waishi kwa heshima mno na waume zao,kwao hakuna divorce,ni wavumilivu kupita kiasi,Ma belle mère est Rwandaise(tutsi)jamani kwa heshima naona kama vile kapitiliza.
dah! mwanzoni mwa kusoma michango ya juu, nilijikuta natamani ghafla kuwaoa, ila nilipofika hapa, nguvu zimeniishia..........Ukimuo mnyaruanda atahakikisha ana zaa na mnyaruanda mwenzake na akikosa kabisa anaweza kuzaa hata na kaka yake ili wasipoteze damu damu ya unyaruanda, utashangaa kila mtoto anatoka mnyaruanda pure ukiuliza ooh sisi tuna damu kali
mmh!!! jamani ya kweli haya?!na akikutana na mnyarwanda mwenzie lazima wa sex, hata kama ni sokoni na mara ya kwanza kuonana