Wasichana wa kazi wa Malawi wateka nafasi za kazi za ndani Tanzania

Husika na kichwa hapo juu.

Kama mjuavyo kazi za ndani imekuwa ni ajira kwa baadhi ya wasichana.

Tena imefika mbali zaidi kumekuwa na makampuni ambayo yanawafundisha vizuri namna kufanya kazi kwa ufanisi na kuwapatia ajira.

Tena wanakuwa wanalipwa mishahara ambayo inaweza kuwasaidia.

Sasa hivi karibuni kumekuwa na wimbi la wasichana wa kazi za ndani wa Kimalawi hapa Tanzania.

Ukienda kwa watu wanaotafutia kazi wasichana wa ndani utakuta wadada wa kazi wa Kimalawi wameenea.

Ukija kwenye salon nyingi utakuta wadada wa salon ni wa kimalawi.

Hata baa mtaani naona wamejaa hawa mabinti wa kimalawi.

Ukikaa na kina mama kwenye vikoba na jumuiya wanawasifia sana wadada wa kazi wa Kimalawi.

Sasa nauliza nini sababu ya wasichana wa kitanzania kupoteza sifa za kazi?

Je, hawa mabinti wa Malawi wana nini cha ziada?
Wageni hawazuiliwi kuwepo nchini kikazi, lakini kwa kazi za namna hii sheria za nchi zinazingatiwa kweli??? Wana vibali vya kazi ?? Usalama wa nchi ni kazi ya kila mwananchi, unaweza ajiri mmalawi mshamba tu kumbe wewe ndio mshamba maana anaweza akawa secret agent

Tuwajibike sote kulinda nchi yetu
 
11 years a slave!

daaah!

Mwanafamilia my arse!

Hana elimu, hana shamba, hana mume, hana pensheni, hana visa, hana mtoto, hana mbele, hana nyuma zaidi ya chura ya kuliwazia wageni wa kufikia, vijana wenu wa kiume na baba mwenye nyumba.

Mwanafamilia.

Wanao wa kike umewafuga ndani illiterate, deaf, dumb and blind for 11 years?

Don't piss on my head and tell me it's raining.
😳😳😳😳😳😳😳
 
Wa kwetu wasumbufu sana hapo ukifanikiwa kuelewana nae mkaishi vizuri ndugu zake wanaibuka kuwa kero. mara wanadai advance ya mshahara mara wapige simu ndugu anaumwa binti aende kumtembelea(utadhani dada ni dokta au nesi) etc
Na akienda huko wanamtia mimba, harudi tenah!
 
Wageni hawazuiliwi kuwepo nchini kikazi, lakini kwa kazi za namna hii sheria za nchi zinazingatiwa kweli??? Wana vibali vya kazi ?? Usalama wa nchi ni kazi ya kila mwananchi, unaweza ajiri mmalawi mshamba tu kumbe wewe ndio mshamba maana anaweza akawa secret agent

Tuwajibike sote kulinda nchi yetu
Huo upelelezi wa kutuma mtu ni wa mwaka sabini. Karne ya 21 mtu anakupeleleza at the comfort of his bed.
 
Sio ma Hotel tu ata shule za English medium nyingi zinapendelea waalimu kutoka Kenya na Uganda, sio kwasbb ni wazuri sana ila wana discipline ya kazi, we majaribu mbogo hata kabla ya kuanza kazi kuonyesha ufanisi wake ataulizia mshahara au mlupulupu na jinsi ya kuiba au ya kukuepa kazi, kama unataka shule yako ya English medium iwe ya migomo na kufaili ajili wa bongo 100%.

Wewe mwenyewe ni mkenya unatetea wakenya wenzako!
 
Mfano kitwe kuna wabongo wengi wanapiga mitkasi zao

Wabongo wengi miaka ya nyuma walifanikiwa hadi kuupata utajiri kwa bidhaa kutoka Malawi,Zimbabwe kuleta bongo...
Mtu akishakuwa na fedha utaona ohh yule madawa

Ova

Kabisa watu walioanza kuuza sendo za kimasai zambia na malawi, wanarudi na sigara sport na sm za kutoka huko walipiga pesa hadi wakasahau, malawi na zambia sigara walikua wanajiuzia tu bei chee mwana anafunga mzigo trip ya kwanza ubungo stand anasambaza cash unaisha anaruka boda anakamata mzigo mwingine trip ya pili anashusha Arusha au mwanza acha tu
 
Kuwa makini sio chuki na utu sio kupuuzia vitu vya msingi.

Mkuu unalijua neno xenophobia na watanzania wangapi wamenyanyapaliwa, kuporwa mali zao au kuuliwa tena kwenye nchi za waafrika wenzao kisa Tu si wananchi wa taifa hilo

Kama kuwa makini na watu ni kukosa utu bhasi nastahili hilo jina na sijali
Africa itaungana namna hii, hebu fikiria watu wa new york wangekua wanawaza namna hii kuhusu watu wa California ama Texas. Mipaka iliundwa na wakoloni.
Africa unite.
 
Tulikuwa na mmalawi mmoja wa kike ndani wa nje gardener na mlinzi wa kimasai sasa huyo wa kike siku tukaondoka wote nyumbani tukaenda sehemu tukamuachia nyumba kwamba tutarudi baada ya siku mbili. Dah baadae night masai mlinzi anapiga simu anatuuliza kama tulikuwa tunategemea mgeni hapo nyumbani kwani kaiona nchemba imeingia huko ndani ya nyumba iko na huyo binti wa kimalawi :p tukamwambia masai aponyeze alarm ya kampuni ya ulinzi security guards jamaa walivyokuja waliingia ndani kumtamtafuta huyo jamaa hawakumuona waliishia kuona viatu tu nje sijui jamaa alitoka vipi. Ila ni waaminifu sana na wapiga kazi afu inaoenkana huko kwao maisha tafu sana so wanakuja kutafuta kazi huku kusapoti familia zao wengi hawana work permits na wengi wako kwenye hofu kubwa kipindi hichi cha sensa afu wengi wana watoto huko kwao unakuta kibinti cha kimalawi kidogodogo lakini unaambiwa kina watoto watatu huko kwao. Mwananyamala na msasani huko uswahilini ndo skani zao ila wengi wanafanya kazi za nyumbani Kigamboni, masaki, mikocheni, posta nk.
 
Husika na kichwa hapo juu.

Kama mjuavyo kazi za ndani imekuwa ni ajira kwa baadhi ya wasichana.

Tena imefika mbali zaidi kumekuwa na makampuni ambayo yanawafundisha vizuri namna kufanya kazi kwa ufanisi na kuwapatia ajira.

Tena wanakuwa wanalipwa mishahara ambayo inaweza kuwasaidia.

Sasa hivi karibuni kumekuwa na wimbi la wasichana wa kazi za ndani wa Kimalawi hapa Tanzania.

Ukienda kwa watu wanaotafutia kazi wasichana wa ndani utakuta wadada wa kazi wa Kimalawi wameenea.

Ukija kwenye salon nyingi utakuta wadada wa salon ni wa kimalawi.

Hata baa mtaani naona wamejaa hawa mabinti wa kimalawi.

Ukikaa na kina mama kwenye vikoba na jumuiya wanawasifia sana wadada wa kazi wa Kimalawi.

Sasa nauliza nini sababu ya wasichana wa kitanzania kupoteza sifa za kazi?

Je, hawa mabinti wa Malawi wana nini cha ziada?
ila ni wachawi balaa.
 
Tulikuwa na mmalawi mmoja wa kike ndani wa nje gardener na mlinzi wa kimasai sasa huyo wa kike siku tukaondoka wote nyumbani tukaenda sehemu tukamuachia nyumba kwamba tutarudi baada ya siku mbili. Dah baadae night masai mlinzi anapiga simu anatuuliza kama tulikuwa tunategemea mgeni hapo nyumbani kwani kaiona nchemba imeingia huko ndani ya nyumba iko na huyo binti wa kimalawi :p tukamwambia masai aponyeze alarm ya kampuni ya ulinzi security guards jamaa walivyokuja waliingia ndani kumtamtafuta huyo jamaa hawakumuona waliishia kuona viatu tu nje sijui jamaa alitoka vipi. Ila ni waaminifu sana na wapiga kazi afu inaoenkana huko kwao maisha tafu sana so wanakuja kutafuta kazi huku kusapoti familia zao wengi hawana work permits na wengi wako kwenye hofu kubwa kipindi hichi cha sensa afu wengi wana watoto huko kwao unakuta kibinti cha kimalawi kidogodogo lakini unaambiwa kina watoto watatu huko kwao. Mwananyamala na msasani huko uswahilini ndo skani zao ila wengi wanafanya kazi za nyumbani Kigamboni, masaki, mikocheni, posta nk.
Wamalawi wezi sana na hawachagui cha kuiba hawana uaminifu wowote na washirikina sana nimeishi nae miaka mingi sana
😂😂😂😂😂 Ukitaka kuwajua wafuatilie hapo kwenu hampo salama
 
Back
Top Bottom