Heee umesikia nawe unazungumzia bila uhakika, tutapata viwanda kweli kwa watu kutojihusisha kiakili hivi?Sijui mkuu!!! Mimi ndo nimesikia hivyooo...
Alafu mama anapenda kusema "unakua m'bishi kama mkinga!!!" Sijui ni wabishi pia?
Kwani unavyo zungumzia tabia za kabila fulani ni lazima uwe umewafanyia research? Mengi ni ya kusikia watu wanavyowaongelea kabila hilo... Na nimesikia from a reliable source, mtu alie ishi nao.Heee umesikia nawe unazungumzia bila uhakika, tutapata viwanda kweli kwa watu kutojihusisha kiakili hivi?
wewe wasema mkuruuu
sio wote,
na Jua unalo liamini ndilo hufanyika kwako
Wakinga kama wakinga ni die hard!!! Yaani hakimbii kitu. Kwenye biashara ni watata sana... Atakomaa adi atoke. Si wa kukata tama kirahisi.
Sifa nyingine ni washirikina saana, unaambiwa mpemba na mkinga hawakai pamoja... Ata kariakoo eneo akiamia mkinga, mpemba atahama tu.
Sio kweli Paprika, watu wanatuzushia sana.
Bhabhene lokholo! Hilo jina lipo hata kwa kikinga Malafyale, na maana yake ni ile ile. Maneno yetu na yenu mengi yanafanana tunatofautiana kuyatamka tuSita mapembero!
Mapembero bhabene
Sasa kama ww Mkinga kwa nn unatumia jina letu bana?
Wakinga OGwapi hao?
Hahaha...! sio Nyashomurah... hao ni mabahir na wachoyo, na ni short chases wengi wao ila uzur wao kiutafutaji wapo vzr nikushauri rudi kwenu kiagata ukaoe wapo wengi tu
Murah unashauri tusichek kabila, itakula kwako poti.Hivi huwa mnaoa watu au makabila yao?
Afu kwa style hii magufuli bado analalamikiwa kwa kuteua wasukuma wenzake na wkt kumbe kuoa tu watu mpaka waulizane makabila yao.
Kwaiyo ndugu yangu oa tu wakinga hawana tatizo kabisa kama ushirikina upo tu si kwa wakinga pekee
Wakinga ni wachapa kazi sanaBhabhene lokholo! Hilo jina lipo hata kwa kikinga Malafyale, na maana yake ni ile ile. Maneno yetu na yenu mengi yanafanana tunatofautiana kuyatamka tu
wakuu,niko katika mahusiano na binti wa kikinga na kwa namna tunavyoenda nimemwahidi kumuoa as soon as possible.ila kabla ya yote naomba kupewa sifa za wasichana wa kikinga ziwe nzuri au mbaya poa tu.
Wakinga ni wachapa kazi sana
Wa kike na wa kiume!