Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,820
Ni kuwabutua tu, muhimu msisahau kinga
DuhWacheni tu wajirahisishe, hakuna apendae shida. Kuna mwanamke mmoja sitomtaja jina, humu humu Jamiiforum, ni mzuri sana sana aiseee... ilikuwa robo nimgonge ndani ya gari.
ha haah acaha kuharibu sokoHujawahi kuona mkoko wake nini miss chagga
kiruuuu kwa hiyo ulitaka ugeuze gari la uzinziWacheni tu wajirahisishe, hakuna apendae shida. Kuna mwanamke mmoja sitomtaja jina, humu humu Jamiiforum, ni mzuri sana sana aiseee... ilikuwa robo nimgonge ndani ya gari.
unaweza kuzimia aisee.. kumbe magari ya wateja wake anaamgalia kama yametengemaaUnaweA kudhani labda ni ushambalkn sio
Kuna demu aliingizwa cha kiume akaolewa kumbe jamaa alijuwa fundo garage akawa anaensa kwa bidada leo na verosa, kesho markx siku nyingine rav4 akaingia mkenge
Mhhhhhhhh hii kali
kiruuuu kwa hiyo ulitaka ugeuze gari la uzinzi
hapo sawa .. usipime oil kwenye gari unatia watu mzukaHapana, yeye ndiyo alitaka kugeuza gari yangu liwe la uzinzi. Lakini haikutokea. Badala yake ikatokea sehemu nyingine sahihi...
Nikupandisha HAZI (hadhi)ha haah acaha kuharibu soko
Tatizo ni ile laana ya kwenye bibilia,Na itawaandama mpaka siku mungu atawaondolea.Mpaka unalala na mtu hujajua kuwa Hana hela au hilo gari sio Lake?
Mnapenda kuogelea wanawake kama ni wajinga fulani. Inaonyesha aina ya wanawake mnaopata, na wanaReflect jinsi mlivyo.
hapo sawa .. usipime oil kwenye gari unatia watu mzuka
sasa si kapata hamu khaa acha bwana uchoyo wa dushe usiwe unabusu kwenye gariNingeruhusu ingekuwa mazoea... Mzuka upo, ni kuji- contorl tu, kwa sababu haiwezekani mtu, mnabusiana yeye anajivua chupi ndani ya gari... bila wasi wasi wala woga...
ha haha okey asanteNikupandisha HAZI (hadhi)
miss chagga nishakumbana nae sana maeneo ya kijitonyama na sinza ya Africasana sema sikuwa namuhitaji kipindi kileHujawahi kuona mkoko wake nini miss chagga
Duh ngoja niazime haka ka vitzi ka marehemu mjomba ili nifaidi kidogo.Mkuu hamna Wacha wapende magari jua kali miaka hii nan anapenda. Kuungua na jua 24/7?