The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
Mchokoz wewe
Sielewi lolote .. ni wewe?
Mchokoz wewe
eti namsutaMwanamke akifanya hivo, huwa naweka hisia pembeni.
Nasimama nakichwa cha juu, namsuta hadi aombe msamaha akizingua na matusi anakula.
HapanaSielewi lolote .. ni wewe?
Cc.Mimi wangu hajui kuomba wala kuniomba mpaka anakera...
Hata awe na shida kubwa vipi haniambii...
Usipojiongeza atakaa kimya...
Anajijua mwenyewe...
Ngoja nimtage aje athibitishe mahondawMimi wangu hajui kuomba wala kuniomba mpaka anakera...
Hata awe na shida kubwa vipi haniambii...
Usipojiongeza atakaa kimya...
Anajijua mwenyewe...
😘😘
Ya mnyakyu.ha haaWe ni mrembo?
Mali ya nani?
AnafaidiYa mnyakyu.ha haa
Mwanaume anakutongoza leo Leo na hapo hapo unaanza kutangaza shida.Kuomba kwa mpenzi siyo mbaya,ila mmezidi sana.Utapewa unachotaka lakini hakuna kuweka kambi.Fanya uchunguzi mpaka vijijini wanawake ni zaidi ya matonya.Jiheshimuni buana
KidogoAnafaidi
Unataka SUMA JKT au Guardaworld waje kukulinda kiongozi?Ni sawa tu kwakua hata sisi tunawaomba tunda. Hii ni exchange boss
Udumu ktk ubora huo wa mawazo.Mwanaume anakutongoza leo Leo na hapo hapo unaanza kutangaza shida.Kuomba kwa mpenzi siyo mbaya,ila mmezidi sana.Utapewa unachotaka lakini hakuna kuweka kambi.Fanya uchunguzi mpaka vijijini wanawake ni zaidi ya matonya.Jiheshimuni buana
Umewahi kusutwa mambo ya kweli wewe hadi ukaomba msamaha 😂😂😂eti namsuta
I lyk that, wangu wa kichaga jioni lazima aniulize umeingiza sh.ngapi,anatamani angefunga cctv camera mifukoni mwangu, yaani hajui kwamba tuko ktk kipindi cha maombolezo yy right, left and centre ni pesa tu.Mimi wangu hajui kuomba wala kuniomba mpaka anakera...
Hata awe na shida kubwa vipi haniambii...
Usipojiongeza atakaa kimya...
Anajijua mwenyewe...
😘😘
Mje DM kwangu kuna sehemu ya kucommentTusioomba tunacomment wapi??
Ila kuomba ni kipaji