Mimi wangu hajui kuomba wala kuniomba mpaka anakera...
Hata awe na shida kubwa vipi haniambii...
Usipojiongeza atakaa kimya...
Anajijua mwenyewe...
😘😘
Suma JKt inamtosha mzeesanamu yako naomba iwekwe pale chato, na upewe walinzi wa magufuli
Ongeza sauti mkuuMimi wangu haniombi na anajua kujitafutia kipato chake japo lazima mwanaume ujiongeze vihuduma vya hapa na pale ili ajione Ana support sio ahisi yuko na boya maana hawa wanawake ukimpa support anahisi yuko salama zaidi
Wameshaachana haoMbona hujam cc sasa??
Wiki kubwa hiyo!! muda wote anawaza akuombe nini ukimpa tu anaanza kuwaza mbinu nyingine, inakuwa bandika bandua.mnachat haipiti week mzinga.
Mchokoz weweMbona hujam cc sasa??