Wasi wasi

Wasi wasi

acha tu aku cheat

MIAKA 8?????? UNATAFUTA Phd????

why usimuoe????
ataolewa na utangaaa macho
Haaaaaaaaaaah haaaaaaaah...! Hii dunia haina huruma duuuh kweeli hiyo ni phd masai sissy
 
Last edited by a moderator:
Kama umesoma nilichokiandika juu pale utakuwa umenielewa still bado mwanafunzi hatuwezi kuchukua hatua za ndoa mpaka mambo ya shule yaishe #masai dada
 
Kama umesoma nilichokiandika juu pale utakuwa umenielewa still bado mwanafunzi hatuwezi kuchukua hatua za ndoa mpaka mambo ya shule yaishe #masai dada
achana nae huko anakokwenda kwa jamaa yake huyo anaenda kuliwa papuchi
 
piga hesabu wewe mtoto wako wa kike au dadako,,, miaka nane anakung'utwa na mtu huyo huyo tuu,,, hata dalili za kumuoa hana, si utamwambia mwanao/dada hapo unapoteza muda songa mbele......ndicho kilichokutokea jiongeze kidogo tuu.....kauka maisha yasonge......hutakiwi mhuni wewe....!!!!!
 
Nimekutana nae miaka kama nane hv iliyopita ba nipo nae kwahyo miaka yote,hamna changamoto yoyote tata niliyowahi kukutanq nayo

Kiongoz kwa dizaini hiyo tegemea ndege wako kuruka na kupotelea kusikojulikana. Miaka nane mnafanya nini? Huyo mdada kashapata ahadi ya ndoa na ndio sababu kaamua kufanya mambo kimyakimya. Wala usimlaumu.
 
Kachoshwa Na Kibamia Chako Mkuu! Kama Hujui Shauri Yako! Kimbia Haraka Kwa Mmasai Akuongezee Japo Kidogo!

Lakn Huo Ni Mtazamo2
 
kwenye mahusiano wasi wasi wa aina yeyote unaitaji kutolewa maelezo ya kuridhisha..
 
Mwanamke ni mtu hatar sana .... Anaenda kuonana naye wanaAjenda gain? Kwann asikuambie kinachompeleka? Au kwann asimwite karibu na ulipo ww ili kukutoa wasi wasi? Huyo mpenz wako hajatulia anastahili hit and run.... Huyo ni sawa na mwanamke anayekwambia wanaomtongoza
 
Wasiwasi ni wa kwako si wa kwake, deal with it!
Uangalie huo wasiwasi unachochewa na nini, ufuatilie hadi ufikie chanzo chake then use your better judgment.
Unaweza kuta huo wasiwasi upo connected na wewe binafsi au kitu kingine ambacho hakiusiani na mpenzi wako
 
tena mwanafunzi kosa lako ujaoa asingekua juu yako wacha vidume wajionjee kama chumvi nane miaka du!
 
hutaki kuoa ? , acha afanya mipango ya ndoa maana na umri wake unakwenda mbele kwa kasi.
 
Uwiiii kwahyo jamani me neo nna makosa,malengo yapo kinachofanya tushindwe kwenda hatua nyingine ni masomo na yy ndo anayekomaa na kumaliza shule kwanza sasa mm hapo langu kosa lipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom