Mwanadamu ana kiwango cha chini sana cha kufikiri heri ukose hela sio akili unaua MTU sababu ya Mali au siasa kwa ishu za kupita,then unaenda kuishi jela akili matope,wa Ben 8,azori kabla hawajaondoka duniani wajiaandae kuulipia uovu,tuishi miaka mingi tutashuhudia.