Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 163
- 268
Jana nmeshangaa sana yaani, nmetoka sehemu nikakaa, nikampigia simu mwanamke wangu aje tupate vinywaji kidogo Mimi nilikua nakunywa wine, baada ya nusu saa akaja ila hakuja mwenyewe akaja na marafiki zake wa wawili, kwahiyo pale mezani tukawa mtu 4.
Tukanywa sana vinywaji, wakala wakasaza. Wakati tunamwagilia moyo akaja jamaa mmoja akanivuta pembeni.
Jamaa: Oya mwanangu vipi hawa mbona wamekuvamia?
Mimi: Wamenivamiaje?
Jamaa: Si nimeona shemeji kaja na wenzake bro atakutia hasara.
Mimi: Hasara gani Kwani Kuna shida?
Jamaa: Hela ngumu bro unamuitaje mwenyewe aje na wengine kama team ya mpira?
Mimi: Hela unatoa wewe?
Jamaa: We mwanaume mwenzangu nikiona unaliwa hela au unafuja mali lazima tuambiane ukweli kaka!
Mimi: Kwahyo unatakaje?
Jamaa: Mi nilikuwa nakusanua tuu.
Mimi: Acha kufuatilia mambo ya watu unajua unachonipa yule mwanamke, Mimi hata akinichuna poa tuu!
Jamaa: Hakuna cha ajabu bob mjini hapa.
Mimi: Poa, ngoja niendelee na starehe zangu fuata mambo yako!
Jamaa: Sikia kaka hapa mjini mshkaji wangu wanakutiaje hasara, wewe umemuita mmoja wanakuja 100 ndio nini Sasa? Pitia mlango wa nyuma huku watoroke wapambane na bill wenyewe!
Alivyosema jamaa hvyo nilicheka sana, hivi mtu Hela hutoi wewe inakuuma nin?
Tukanywa sana vinywaji, wakala wakasaza. Wakati tunamwagilia moyo akaja jamaa mmoja akanivuta pembeni.
Jamaa: Oya mwanangu vipi hawa mbona wamekuvamia?
Mimi: Wamenivamiaje?
Jamaa: Si nimeona shemeji kaja na wenzake bro atakutia hasara.
Mimi: Hasara gani Kwani Kuna shida?
Jamaa: Hela ngumu bro unamuitaje mwenyewe aje na wengine kama team ya mpira?
Mimi: Hela unatoa wewe?
Jamaa: We mwanaume mwenzangu nikiona unaliwa hela au unafuja mali lazima tuambiane ukweli kaka!
Mimi: Kwahyo unatakaje?
Jamaa: Mi nilikuwa nakusanua tuu.
Mimi: Acha kufuatilia mambo ya watu unajua unachonipa yule mwanamke, Mimi hata akinichuna poa tuu!
Jamaa: Hakuna cha ajabu bob mjini hapa.
Mimi: Poa, ngoja niendelee na starehe zangu fuata mambo yako!
Jamaa: Sikia kaka hapa mjini mshkaji wangu wanakutiaje hasara, wewe umemuita mmoja wanakuja 100 ndio nini Sasa? Pitia mlango wa nyuma huku watoroke wapambane na bill wenyewe!
Alivyosema jamaa hvyo nilicheka sana, hivi mtu Hela hutoi wewe inakuuma nin?
