Washiriki wa mishahara hewa wafurika kwa Waganga,Tufunge kumuombea Raisi wetu Dr.John Magufuli

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Amani iwe kwenu.

Katika hali ya kusikitisha nimekutana na baadhi ya watu ambao ni wahusika wa idara za serikali waliokuwa wanufaika wa mishahara hewa.Wengi wanakimbilia kwa waganga ili kuroga watu wote wenye nia njema kudhibiti suala hili.

Katika hali ya kusikitisha suala hili linakingiwa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ambao hadi sasa sijui nia yao,ila tumewadhibiti kwa maombi na kwa kushirikiana na waumini wa dini zote ambao wameahidi kuunga mkono jitihada za Raisi John Pombe Magufuli.

Wito wangu kwa watanzania bila kujali itikadi ya dini tuungane kufichuwa na kukemea hali hii.
 
Amani iwe kwenu.

Katika hali ya kusikitisha nimekutana na baadhi ya watu ambao ni wahusika wa idara za serikali waliokuwa wanufaika wa mishahara hewa.Wengi wanakimbilia kwa waganga ili kuroga watu wote wenye nia njema kudhibiti suala hili.

Katika hali ya kusikitisha suala hili linakingiwa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ambao hadi sasa sijui nia yao,ila tumewadhibiti kwa maombi na kwa kushirikiana na waumini wa dini zote ambao wameahidi kuunga mkono jitihada za Raisi John Pombe Magufuli.

Wito wangu kwa watanzania bila kujali itikadi ya dini tuungane kufichuwa na kukemea hali hii.
Kwani kazi yako ya uganga wa kienyeji bado hujaacha tu?
 
Ccm na uvccm mnapenda sana ushirikina,hatuwezi kuwaombea washirikina sisi,kila siku tuwaombee wachawi
 
Amani iwe kwenu.

Katika hali ya kusikitisha nimekutana na baadhi ya watu ambao ni wahusika wa idara za serikali waliokuwa wanufaika wa mishahara hewa.Wengi wanakimbilia kwa waganga ili kuroga watu wote wenye nia njema kudhibiti suala hili.

Katika hali ya kusikitisha suala hili linakingiwa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ambao hadi sasa sijui nia yao,ila tumewadhibiti kwa maombi na kwa kushirikiana na waumini wa dini zote ambao wameahidi kuunga mkono jitihada za Raisi John Pombe Magufuli.

Wito wangu kwa watanzania bila kujali itikadi ya dini tuungane kufichuwa na kukemea hali hii.
bila shaka na wewe ni mchawi!
Umekutana nao huku kwa waganga, wewe ulienda kuomba ukuu wa Wilaya nini?
ahahaha!
Mmawia nasikia umejifungia Newala kwa babu unaroga...CAG anakuja kufyokonoa mishahara hewa hapo Ufipa..huchomoi
duh!kumbe c.a.g ana dili na mishahara ya taasisi binafsi!
 
Amani iwe kwenu.

Katika hali ya kusikitisha nimekutana na baadhi ya watu ambao ni wahusika wa idara za serikali waliokuwa wanufaika wa mishahara hewa.Wengi wanakimbilia kwa waganga ili kuroga watu wote wenye nia njema kudhibiti suala hili.

Katika hali ya kusikitisha suala hili linakingiwa na baadhi ya wanasiasa wa upinzani ambao hadi sasa sijui nia yao,ila tumewadhibiti kwa maombi na kwa kushirikiana na waumini wa dini zote ambao wameahidi kuunga mkono jitihada za Raisi John Pombe Magufuli.

Wito wangu kwa watanzania bila kujali itikadi ya dini tuungane kufichuwa na kukemea hali hii.

mkuu inawezekana wew ndio mganga maana huwez kujua jambo la mtu kama wahuska hawafikii kwako ila sis selkal hatuamin uganga
 
Kwani kazi yako ya uganga wa kienyeji bado hujaacha tu?
Yaani kwa kweli ccm ni kusanyiko la mazuzu mpaka wanatia hasira. Yaani sasa hivi akili,nguvu,maarifa na kelele zote toka mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa ndio usiseme na maDC ziko kwenye watumishi hewa tuu. Hakuna mipango wala mikakati ya kuongeza production katika viwanda, ajira kwa vijana, mfumuko wa bei wala ugumu wa maisha.
Mishahara hewa sasa hivi ndio agenda ya kitaifa kwa vile kaitaja Magu basi nchi nzima wanawaza hilo tuu,wakati CAG na Polisi wangeweza kukabiliana na jinai hiyo.
Kama ni humo uchungu eti katika miaka 5 bilioni 600 zimeibiwa nchi nzima mbona Escrow bilioni karibu 400 zimeibiwa ndani ya wiki na watu wachache hawaweki nguvu yeyote?
Unafiki ulivyowajaa hawa jamaa, kesho Magu akibadili wimbo na kuacha huu wa mishahara na kuanza "kilimo cha karanga' wote wataimba huo
 
Back
Top Bottom