Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Washauri wake nimiongoni mwao ni MIMI.
Sema kile kifanyika nje ya tamanio la genge fulani huonekana ukosefu.
1. Sabaya alipokamtwa ilikuwa oya oya neno MITANO TENA likaja.
2. Pinduapindua ya baraza la awamu ya tano ilikuwa oya oya neno Sukuma gang likaja
3. Safari nchi za nje ilikuwa oya oya neno Anafungua NCHI likaja.
4. Yapo mengi ANAFUTA LEGACY ya ..... Anaupiga MWINGI
5. Sasa KATIBA BAADAE imekuwa uwiiii uwiii neno DIKTETA limekuja
5. Mwenyechair Kamata. Imekuwa uwiii uwiii, na Maneno mengi.
Tutaendelea KUMSHAURI kwa "maslahi mapana ya Tz" by Mbatia voice. Magenge yote yataguswa wa kulia walie wa kucheka wacheke. PERIOD
Sema kile kifanyika nje ya tamanio la genge fulani huonekana ukosefu.
1. Sabaya alipokamtwa ilikuwa oya oya neno MITANO TENA likaja.
2. Pinduapindua ya baraza la awamu ya tano ilikuwa oya oya neno Sukuma gang likaja
3. Safari nchi za nje ilikuwa oya oya neno Anafungua NCHI likaja.
4. Yapo mengi ANAFUTA LEGACY ya ..... Anaupiga MWINGI
5. Sasa KATIBA BAADAE imekuwa uwiiii uwiii neno DIKTETA limekuja
5. Mwenyechair Kamata. Imekuwa uwiii uwiii, na Maneno mengi.
Tutaendelea KUMSHAURI kwa "maslahi mapana ya Tz" by Mbatia voice. Magenge yote yataguswa wa kulia walie wa kucheka wacheke. PERIOD