Mama pale alipoacha kusikiliza wazalendo na kuanza kumsililiza kikwete na genge lake mashuhuri kama wana mitandao sasa amekuwa mateka.
Kibaya zaidi hilo genge hata halimpendi Mama. Wameweka watu kila mahali . Mama kaweka Wanzanzibari ambao wenyewe walivyo wajinga jinga wanaogopa Lissu na mambo ya mitandao wakati wenzao wanajalli biashara na familia zao.
Tatizo kubwa washauri wa Mama kama sefue wana mwogopa Kikwete kwasbabu aliwapa kazi hata IGP Mwema naye ni kikwete, Othman Chande kikwete hivyo hawa washauri wanashidwa kwasabu wanajua kikwete yuko nyuma ya hao wafanyabiashara
Kibaya zaidi hilo genge hata halimpendi Mama. Wameweka watu kila mahali . Mama kaweka Wanzanzibari ambao wenyewe walivyo wajinga jinga wanaogopa Lissu na mambo ya mitandao wakati wenzao wanajalli biashara na familia zao.
Tatizo kubwa washauri wa Mama kama sefue wana mwogopa Kikwete kwasbabu aliwapa kazi hata IGP Mwema naye ni kikwete, Othman Chande kikwete hivyo hawa washauri wanashidwa kwasabu wanajua kikwete yuko nyuma ya hao wafanyabiashara