sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
- Thread starter
- #61
JF ya siku hizi bana,
Sasa ukisutwa utaathirika vipi? Na msutaji atafaidika vipi? By the way neno kusutana limekaa ki dada dada hivi. We sema labda tumuweke Mod mmoja shahidi ikitokea nyimbo zimepigwa ulambwe Ban
Mwanangu mbona unanifatafata unataka nikutindue malinda nini? ningekupa mti hila makonda kakataza....