Nipo Mondi hapa tunacheka tu ulichokiandikaUzi mfupi tu kuhusu soko la sanaa Tanzania. Wasanii wetu wa muziki ni muda wa kutoka usingizini sasa na kufanya kazi zinazoenda Duniani kama Wanaija.
Nimeandika huu uzi baada ya kuona kazi mpya ya Asake - WHY LOVE hii imefuatana na kazi mpya ya Diamond Platnumz - Moyo. Ukisikiliza hizo kazi mbili unaweza kuhisi Asake yupo kwenye game la muziki kumshinda DP.
Wanaija walipotuacha ni kwa kufanya kazi za Kimataifa zaidi kwa kuzingatia ubora wa muziki: wimbo wenyewe, video production na promotion. Siku kadhaa Asake ali-trend kuwa anatoka na Inda Love, siku kadhaa mbele India Love yupo kwenye video ambayo imetendewa haki. Soko la muziki kwa sasa lipo sehemu moja tu "Ardhi ya D. Trump". Huwezi kuwa unafukuzia Grammy wakati upo Tandale.
Asake ndani ya miaka miwili baada ya kuachia video ya PBUY, jana ameachia video kali sana na hii inaonyesha ni kwa jinsi gani analitafuta soko la Marekani kwa kuboresha kazi zake. Huwezi kuonekana unafanya vitu serious kwa production team za hapa nyumbani na huu ndiyo ukweli. Huko Duniani watu wamenyooka sana: watu kama Cole Bennett, Gibson Hazard ukiangalia video zao ule muziki unajihisi kama vile na wewe uwe sehemu ya video hiyo.
Huku ndiyo Wanaija wanapotukimbiza, Wizkid, Asake, Tems wanaonyesha jinsi gani Marekani inawafungulia milango.
Kitu kingine muhimu, wasanii wetu hawajui jinsi ya kuji-brand. Ukifungua IG page ya Diamond Platnumz utakutana na ma-post kibao utasema ni Mwandishi wa Habari, uki-scroll unakutana na mambo ya chama, basi tu tafrani. Lakini ukifuatilia wasanii wa Kimataifa kutoka Naija wapo "straight to the point" utakutana na posts za kazi zao latest na picha kadhaa kwa mpangilio wa kuvutia.
Diamond Platnumz ana pesa, connections, potential. Inashangaza kuona anaanza kupotea taratibu, kile kipindi cha Hallelujah, African Beauty, Jeje ndiyo alikuwa peak sasa ameanza kurudi nyuma tena.
Hizi hapa chini ni YouTube za wasanii Diamond Platnumz na Asake, angalia uone utofauti katika uwasilishaji wa kazi.
1. Diamond Platnumz
View attachment 3235873
2. Asake
View attachment 3235874
Kwa hiyo ndani ya miaka miwili alikuwa ameachia video moja tuAsake ndani ya miaka miwili baada ya kuachia video ya PBUY, jana ameachia video kali sana
Kwa hiyo Hallelujah,African Beauty na Jeje wewe ndo unaona zilifanya vizuri kuliko komasavakile kipindi cha Hallelujah, African Beauty, Jeje ndiyo alikuwa peak sasa ameanza kurudi nyuma tena.
Toka wewe uzaliwe mpaka sasa hilo soko la muziki lipo Marekani, halijawahi kushuka hata siku moja.Uzi mfupi tu kuhusu soko la sanaa Tanzania. Wasanii wetu wa muziki ni muda wa kutoka usingizini sasa na kufanya kazi zinazoenda Duniani kama Wanaija.
Nimeandika huu uzi baada ya kuona kazi mpya ya Asake - WHY LOVE hii imefuatana na kazi mpya ya Diamond Platnumz - Moyo. Ukisikiliza hizo kazi mbili unaweza kuhisi Asake yupo kwenye game la muziki kumshinda DP.
Wanaija walipotuacha ni kwa kufanya kazi za Kimataifa zaidi kwa kuzingatia ubora wa muziki: wimbo wenyewe, video production na promotion. Siku kadhaa Asake ali-trend kuwa anatoka na Inda Love, siku kadhaa mbele India Love yupo kwenye video ambayo imetendewa haki. Soko la muziki kwa sasa lipo sehemu moja tu "Ardhi ya D. Trump". Huwezi kuwa unafukuzia Grammy wakati upo Tandale.
Asake ndani ya miaka miwili baada ya kuachia video ya PBUY, jana ameachia video kali sana na hii inaonyesha ni kwa jinsi gani analitafuta soko la Marekani kwa kuboresha kazi zake. Huwezi kuonekana unafanya vitu serious kwa production team za hapa nyumbani na huu ndiyo ukweli. Huko Duniani watu wamenyooka sana: watu kama Cole Bennett, Gibson Hazard ukiangalia video zao ule muziki unajihisi kama vile na wewe uwe sehemu ya video hiyo.
Huku ndiyo Wanaija wanapotukimbiza, Wizkid, Asake, Tems wanaonyesha jinsi gani Marekani inawafungulia milango.
Kitu kingine muhimu, wasanii wetu hawajui jinsi ya kuji-brand. Ukifungua IG page ya Diamond Platnumz utakutana na ma-post kibao utasema ni Mwandishi wa Habari, uki-scroll unakutana na mambo ya chama, basi tu tafrani. Lakini ukifuatilia wasanii wa Kimataifa kutoka Naija wapo "straight to the point" utakutana na posts za kazi zao latest na picha kadhaa kwa mpangilio wa kuvutia.
Diamond Platnumz ana pesa, connections, potential. Inashangaza kuona anaanza kupotea taratibu, kile kipindi cha Hallelujah, African Beauty, Jeje ndiyo alikuwa peak sasa ameanza kurudi nyuma tena.
Hizi hapa chini ni YouTube za wasanii Diamond Platnumz na Asake, angalia uone utofauti katika uwasilishaji wa kazi.
1. Diamond Platnumz
View attachment 3235873
2. Asake
View attachment 3235874
Ni kweli Komasava imefanya vizuri kushinda hizo nyingine ila imemsaidia nini zaidi ya collabo na Jason Derulo?Kwa hiyo Hallelujah,African Beauty na Jeje wewe ndo unaona zilifanya vizuri kuliko komasava
Asake,Tems na Tyla bado sana kwa MondiNi kweli Komasava imefanya vizuri kushinda hizo nyingine ila imemsaidia nini zaidi ya collabo na Jason Derulo?
Angalia wasanii kama Tems, Essence ya Wizkid imempeleka Duniani akashikwa mkono na Drake, akamuandikia Rihanna wimbo alio-perform kwenye album ya Black Panther: Wakanda Forever, akaachia album kali iliyomhakikishia nafasi yake kwenye soko la muziki Marekani. Tyla akaja na Water ikampeleka Duniani akahamishia makazi US na kupata management nzuri, PR za kutosha ameshajibebea Grammy. Asake alipopata upenyo akatoa album ambayo imemuweka nafasi nzuri kwenye soko la Kimataifa.
Hawa Wanaija kujipenyeza kwenye soko la US kunawapa na fursa za ku-earn in dollars, pesa wanayopata huwezi kuipata kwenye soko la ndani kamwe.
Tems ameshaanza kujiwekeza vizuri, sasa hivi ametangazwa kuwa sehemu ya wamiliki wa club ya MLS, San Diego FC.
Duh aiseeeSawa sawa ujumbe wameupata
Inawezekana ila namba hazidanganyi.Asake,Tems na Tyla bado sana kwa Mondi
Hao listeners wa wapi? na vipi kuhusu youtube viewsInawezekana ila namba hazidanganyi.
Tyla: 28.7M monthly listeners.
Tems: 18M monthly listeners.
Asake: 7.2M monthly listeners.
Diamond Platnumz: 1.4M monthly listeners.
Hao wasanii wote uliwataja ni Asake tu ndiyo hajashinda Grammy ila ana nominations 2.
Kwa hiyo Tems yuko level ya Chris Brown kwa kuwa wote wana Grammy mbili au yuko juu ya Nicki Minaj asiyekuwa na Grammy hata moja?Hao wasanii wote uliwataja ni Asake tu ndiyo hajashinda Grammy ila ana nominations 2.
Hiyo ni Spotify. YouTube Diamond lazima akimbize ana video zaidi ya 1,000 na 2.8 billion views. Tyla 161 videos na 1.6 billion views.Hao listeners wa wapi? na vipi kuhusu youtube views
Kama unaona Tyla ana video chache kumlinganisha na simba la masimba basi mlete mwingine yeyote washindane youtube.Hiyo ni Spotify. YouTube Diamond lazima akimbize ana video zaidi ya 1,000 na 2.8 billion views. Tyla 161 videos na 1.6 billion views.
Wakati huu uzi unaendelea tayari Tyla katoa remix ya PUSH 2 START akimshirikisha Sean Paul, unaona kabisa jinsi gani hawa watu wanafanya kazi kimkakati.
Mimi ni shabiki wa DP, naona kabisa anayo nafasi ya kufanya makubwa zaidi kwenye career yake ila ni kama ameridhika alipofika. Maana akifanikiwa kupenya soko la Marekani hata mapato yake yatakuwa makubwa hasa kwenye upande wa deals. Tems sasa hivi anapata deals za Reebok. A Boy from Tandale deals zake ni za Serengeti na Niceone na makoto ya chama.Kama unaona Tyla ana video chache kumlinganisha na simba la masimba basi mlete mwingine yeyote washindane youtube.
Halafu huyo Sean Paul hana lolote kwa sasa yaani ni bora angemshirikisha Chibu tu.
Don't worry huu mwaka DP anaachia album itakayokuwa gumzo dunia mzima,hiyo album itaingia billboard charts pamoja ngoma zake karibia zote.Mimi ni shabiki wa DP, naona kabisa anayo nafasi ya kufanya makubwa zaidi kwenye career yake ila ni kama ameridhika alipofika. Maana akifanikiwa kupenya soko la Marekani hata mapato yake yatakuwa makubwa hasa kwenye upande wa deals. Tems sasa hivi anapata deals za Reebok. A Boy from Tandale deals zake ni za Serengeti na Niceone na makoto ya chama.
Connections muhimu, Tems ashajisogeza kwa Rihanna, Dua Lipa, Drake. Wakati DP ana-post Travis Scott akicheza wimbo wa Komasava, Tyla ameshafanya kazi na Travis. Diamond aondoke Tandale, soko la nyumbani na Africa ameshalipata bado huko Duniani.