kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 2,859
- 7,124
Wasalaam wanajamii
Nilikuwa naangalia live kwenye tv uzinduzi wa kampeni za CCM. Kabla ya mwenyekiti kuongea , wakaalikwa wasanii watatu (top artists)
1. Harmonize, kidogo ndio amepafom vizuri , japo play back pia dj Kuna namna anakosea kosea! Ila uwezo binafsi na kulitawala jukwaa kaweza Sana !! Kongole kwako konde boy
2. Ally K, huyu kidogo mziki wa live anawazidi wasanii wengi Sana hapa nchini ! Kajitahidi kiasi chake kufanya alichoweza
3. Naseeb Diamond, Leo sijui kapatwa na nini (tuachane na kuzuiwa kwenda jukwaa kuu, haya Ni mambo ya kiusalama ) ! Amekuwa na shoo mbovu sijapata kuona
Baada ya mwenyekiti kuongea, wakaja wengine kina Barnaba, Shishi, Maua Sama, Nandy , Mrisho n.k ! Kiukweli hakuna ambaye amelitendea vyema jukwa, kidogo Mrisho na Banana Zoro ! Kama Lavalava na Shishi wametia huruma Sana !
Kiujumla wale top artists (Ally, Naseeb na Harmo) ndio wamefanya vizuri walau, bado wasanii wetu wana kazi sana kwenda mbali na miziki yao
Nilikuwa naangalia live kwenye tv uzinduzi wa kampeni za CCM. Kabla ya mwenyekiti kuongea , wakaalikwa wasanii watatu (top artists)
1. Harmonize, kidogo ndio amepafom vizuri , japo play back pia dj Kuna namna anakosea kosea! Ila uwezo binafsi na kulitawala jukwaa kaweza Sana !! Kongole kwako konde boy
2. Ally K, huyu kidogo mziki wa live anawazidi wasanii wengi Sana hapa nchini ! Kajitahidi kiasi chake kufanya alichoweza
3. Naseeb Diamond, Leo sijui kapatwa na nini (tuachane na kuzuiwa kwenda jukwaa kuu, haya Ni mambo ya kiusalama ) ! Amekuwa na shoo mbovu sijapata kuona
Baada ya mwenyekiti kuongea, wakaja wengine kina Barnaba, Shishi, Maua Sama, Nandy , Mrisho n.k ! Kiukweli hakuna ambaye amelitendea vyema jukwa, kidogo Mrisho na Banana Zoro ! Kama Lavalava na Shishi wametia huruma Sana !
Kiujumla wale top artists (Ally, Naseeb na Harmo) ndio wamefanya vizuri walau, bado wasanii wetu wana kazi sana kwenda mbali na miziki yao