wanaona ni rahisi kuipata na kuifanya!!Ina maana kazi ya Ubunge imekuwa rahisi sana , muhimu au imedharauliwa kiasi kila mtu anaona ni rahisi kupata
Mkuu ni yupi kati wa mbele au wa nyuma 🙂 ni mheshimiwaKaribu Jimboni Mheshimiwa
🤣🤣Mimi ni CCM damu, lakin kuliko wapuuzi kama hao wapitishwe na chama chetu, bora wapinzani washinde tu.
Ni rahisi kupata na kipato ni kikubwa kwa kuunga mkono juhudi, kupiga meza na kupiga kura ya ndiyoooo kwa kila hoja. Aliyerahisisha kila kitu Bungeni mpaka wanachama wa CCM wanapigana vikumbo kutia nia ya kugombea ni Ndugai, mtaalamu wa kutembeza rungu dhidi ya watia nia wa Chama chake na wa upinzani ili apite kwa urahisi. Mwaka huu kuna wasiwasi atatumia hengo badala ya rungu kuwakatakata wapinzani wake.wanaona ni rahisi kuipata na kuifanya!!
Hahahaha fair play MkuuMimi ni CCM damu, lakin kuliko wapuuzi kama hao wapitishwe na chama chetu, bora wapinzani washinde tu.