Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,878
- 1,849
- Thread starter
- #41
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote ila tukiangalia nyuma ya shilingi Diamond ndie kafanya vizuri zaidi mkuu!!!Usibishe mkuu Alikiba amefanya vizuri mwaka huu na kitendo cha kuwa msanii pekee kufanya show 2 za festival si ya kitoto otherwise usipokubali basi una ushabiki na diamond ndo maana unabishana na facts nlizokupa