GadoTz
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 370
- 636
Nina muda mrefu sana sijasikia wimbo ukanisisimua toka kwenu wasanii wa bongofleva.
Nyimbo karibu zote za sasa naishia kuzipenda baada ya kuzizoea zikishapigwa mara nyingi lakini haziingii mpaka damuni.
Kimewakuta nini wasanii wa bongofleva? Mmeishiwa tungo? Au ndio muziki wa biashara kama wenyewe mnavyouita!?
Naskiza wimbo wa Young D BBM naskia chorus tupu. Eti ndio swag .
Namskiza hasara roho ya Darasa naskia part two ya Muziki .
Uko Wcb naona kama wameamua wote kuimbia kwenye beat moja na melody moja.
Kiba na remix ya aje isiyo na kigeni.
THT ndio ata sielewi wanafanya nini siku hizi.
Izzo business na yule demu wake wamejaribu kuwa Navy Kenzo lakini muziki wao unaumiza masikio .
Navykenzo wao wameamua kutuletea album kabisa ya autotunes.
Jide ata sijui album yake anauzia wimbo upi.
Uko kwa wana hiphop ndio balaa weusi hawana jipya, young kilaa ndio dah mpaka ukiniuliza kama bongo bado kuna hiphop sijui cha kujibu. Ukiona msanii kama Nay anatrend kwenye hiphop ujue hiphop inakufa sio inabaniwa maana sijaona wimbo mkali wa hiphop ukabaniwa.
Yani muziki kiufupi umepoteza dira sio hiphop sio waimbaji. Leo tunasikilizishwa kina Hamorapa sababu hakuna tena ubunifu kwenye muziki.
Uko kwenye mastudio kunani? Tafuteni ata waandishi basi.
Hivi wasanii mnalalamika hakuna show kwa nyimbo zipi za kujaza watu ukumbin?
Mbona Darasa alikuwa bize na shows pamoja na usawa huu huu wa Magu!
Nani kawadanganya raia bado wanashangaa video za drone na magari ya kuazima.
Watu wanataka muziki mzuri. Bring back bongofleva yetu.
Nyimbo karibu zote za sasa naishia kuzipenda baada ya kuzizoea zikishapigwa mara nyingi lakini haziingii mpaka damuni.
Kimewakuta nini wasanii wa bongofleva? Mmeishiwa tungo? Au ndio muziki wa biashara kama wenyewe mnavyouita!?
Naskiza wimbo wa Young D BBM naskia chorus tupu. Eti ndio swag .
Namskiza hasara roho ya Darasa naskia part two ya Muziki .
Uko Wcb naona kama wameamua wote kuimbia kwenye beat moja na melody moja.
Kiba na remix ya aje isiyo na kigeni.
THT ndio ata sielewi wanafanya nini siku hizi.
Izzo business na yule demu wake wamejaribu kuwa Navy Kenzo lakini muziki wao unaumiza masikio .
Navykenzo wao wameamua kutuletea album kabisa ya autotunes.
Jide ata sijui album yake anauzia wimbo upi.
Uko kwa wana hiphop ndio balaa weusi hawana jipya, young kilaa ndio dah mpaka ukiniuliza kama bongo bado kuna hiphop sijui cha kujibu. Ukiona msanii kama Nay anatrend kwenye hiphop ujue hiphop inakufa sio inabaniwa maana sijaona wimbo mkali wa hiphop ukabaniwa.
Yani muziki kiufupi umepoteza dira sio hiphop sio waimbaji. Leo tunasikilizishwa kina Hamorapa sababu hakuna tena ubunifu kwenye muziki.
Uko kwenye mastudio kunani? Tafuteni ata waandishi basi.
Hivi wasanii mnalalamika hakuna show kwa nyimbo zipi za kujaza watu ukumbin?
Mbona Darasa alikuwa bize na shows pamoja na usawa huu huu wa Magu!
Nani kawadanganya raia bado wanashangaa video za drone na magari ya kuazima.
Watu wanataka muziki mzuri. Bring back bongofleva yetu.