sijui ni macho yangu au labda kupitwa na matukio ya TV. hivi kama sijaona wasanii waliohamasisha ukombozi wa afrika wa kusini na kuachiwa kwa Mandela bila masharti yeyote kupewa nafasi kwenye msiba huu au wamezeeka sana jamani akina Sarafina etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.