Andre02150
JF-Expert Member
- Feb 2, 2010
- 332
- 128
nasikitika kwamba wafanyakazi hapa nchini tunakamuliwa kwelikweli na kodi (PAYE) na wakati huo huo kuna wasanii kibao wanaingiza mapato na hawatozwi kodi hata centi moja zaidi ya kujirusha kila kukicha. nafikiri ni vyema mamlaka husika, TRA ikalitupia macho ili suala na kuanza ukusanyaji kodi haraka.