Wasanii kumuunga mkono Magufuli

Wasanii kumuunga mkono Magufuli

Bintikisura

Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
52
Reaction score
14
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa
 
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa

Kura ni yangu haishikwi na msaani lowasa ndio habari ya mujini na vijijini kwa sasa.
 
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa

Wao wameshazoea kwenda dinner ikulu hivyo sioni ajabu hapo! Ni haki yao kumuunga mkono Mh. Magufuli wether kwa utashi wao au kwa kununuliwa kwa 'dinner', And this time kama wanadhani mashabiki wao watawafuata they are wrong. Muziki ni kitu kingine na siasa ni kitu kingine.
 
Japo wana ''kainflunce'' kwa kiasi chao...wengi wao wana zero knowledge kuhusu siasa....
 
Mpaka sasa wasanii wafuatao wamempost Magufuli
1. Wema
2. Zamaradi
3.Barnaba
4.Shilole
5. Dogo Aslay
6.Linah
Hawa ni wale niliowafollow instagram mm
Diamond hajapost ila naona kawatuma Dancer wake na mpiga picha wake na wapambe wake hii isitukatishe tamaa sisi tunaomuunga mkono Lowasa

watakuwa naye kimwili,but kiroho wako na lowasa
 
uploadfromtaptalk1439891038267.jpg
 
Wasanii njaa tuu hao.
Machokest.
Wale Wanaojielewa wanaotaka mabadiliko wametulia tuu.
 
Magufuli ndiyo kiongozi pendwa na watanzania tunaomba mungu atusaidie huyu fisadi Lowasa asiwe kiongozi atauza taifa letu huyu Lowasa mwizi mpaka anajiibia mwenyewe.
 
naona wameshanunuliwa na ule ubweche na juice ya pale mliman teh....tutaona meng had october...
 
Wema tunajua alichoahidiwa walivyoitwa nyumba kubwa, wakaenda na steve nyerere, steve nyerere yeye kashaukwaa uongozi uvccm
 
Magufuli ndiyo kiongozi pendwa na watanzania tunaomba mungu atusaidie huyu fisadi Lowasa asiwe kiongozi atauza taifa letu huyu Lowasa mwizi mpaka anajiibia mwenyewe.

Kwa cc Kristo ukiandika mungu wala hatuna habari na ww maana kuna miungu mingu kibao
 
Back
Top Bottom