joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,303
- 32,101
Poa dogo.Pole sana dogo..
Poa dogo.Pole sana dogo..
mnapenda umbea nyie lol.Kwa mujibu wa cocast ..ali anakula hako kajamaa pichani hapo(dizaina wa mondi)noel
Nimeuliza ule unaotokea angani???Huo upinde kwa jina la rainbow ni alama ya kusapoti u gay na transgender..hata kwenye ligi ya soka ya uingereza kitambaa cha kaptain sharti kiwe na rangi hizo ili kuonesha wako pamoja na wanasapoti watu wa aina hiyo.
Hakika kabisaaaa.Ushoga uko dunia nzima, hauna asili, tofauti iliyopo ni mijini na vijijini, mjini ni rahisi kuwaona kwasababu miji inakusanya watu wengi mahala pamoja, hata minority wanaonekana
Vijijini wapo ila kutokana na uchache wao na ukaribu wa kijamii wengi wanaoishi huko wenye hali hiyo huwa ni wachache sana na hujificha sana ama uhama uko. Ila hakuna mji duniani ambao hauna shoga asilimia mia, hata Jerusalem na Mecca wapo
Sibiri kipindi kinachofuata utaelewa🤣🤣🤣Mnamaanisha mondi? Kivipi mbona sijaelewa
Yaan Dear watu wamevurugwa mnoooo, kila kitu ni ushoga khaaaah.
kumbe unafuatilia kwa ukaribu? Weraaaaaah.View attachment 2292262View attachment 2292265
Huo ndio utambulisho wao mashoga na wasagaji.... Na wamepewa rangi hizo na bendera yao kuwatambulisha wajuane.View attachment 2292267View attachment 2292262View attachment 2292265View attachment 2292267
Sasa mkuu, mfano mimi huu uzi wako ndo umenijulisha hizo rangi ndo wanatumia hao watu.mkuu inaonekana mimi na wewe tupo kwenye two different sides of the coin na huelewi mimi ni nini nimekusudia hapa.
(1) kuna watu ambao wanafanyia watoto hivyo vitu na they don't care about campaign juu ya ushoga
, ni kweli na mimi sipingani na wewe
(2)kuna campain ambazo kazi yake ni kutetea ushoga pale ambapo unapingwa, kuexternalize ushoga pale ambapo haufahamiki
(3)kuonesha ufahari kwamba ushoga ni kitu kizuri na kwamba unasapot.
Anachofanya mboso ni kufaharisha ushoga na kwa sababu kuna millions of people ambao wanamfuatilia na 99% ni vijana kuna higher probability chance wakamuunga mkono na kua kama yeye na hapo kama taifa ndio tutaangamia.
Mambo ya chipokidaliUnaona tofauti hapo? Au muundo wa umbo za hizo rangi?
Huna hata unachokijua.
Umesahau na kusuka, hizo pigo miyeyusho sana kwa watoto wa kiume hawajui tuMwanaume akishavaa hereni hata ka ni mjanja vipi hawezi niambia kitu!
Mambo ya chipokidali
Ova
Topic ipo fom3 huenda mwalimu wenu aliamua tu awafundishe mkiwa fom4 ni sub topic ngumu kimtindoLabda siku hizi, hiyo mimi niliipiga form 4 VIBGYOR (Violet, Indigo, Blue, Green,Yellow, Orange and Red).
Nenda Tanganyika Library vitabu vipo, mimi nilimaliza form 2005,sijui wewe ila ni topic ya form 4,zikiungana pamoja na Modern Physics, Electromagnetism (Magnetic effect of an electronic current na Magnetic Inductions) na Wave.Topic ipo fom3 huenda mwalimu wenu aliamua tu awafundishe mkiwa fom4 ni sub topic ngumu kimtindo
Hadi video yake nshaiona, kwan baunsa wengi wa Dar ni milenda tyuuh. Wanazamia GYM ili kujificha mwishoe wanaumbukaa.Ushaipata hiyo code
Ova
Ubishi wa kipuuziNani alisema hio rangi ni ya mashoga ..nani alipitisha hili swala?
Umeona rangi zako samahani mkuu sitawaingilia tenaUbishi wa kipuuzi