Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana.

Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE

Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu wa wanadamu kwa ajili ya kazi maalum

Kutana na Bwana Songolo mtu tajiri, mkorofi na mkali sana, ambaye nae anajikuta yuko katikati ya mikasa hiyo ipatayo bwana Lidawi

 
Mkuu kuuliza Ndio kujua ni nguo gani hapo inaonyesha au kuashiria mapenzi ya jinsia moja? naomba kujuzwa mi naona zangu ni nguo za Kawaida tu nielimishe nijue
Inawezekana hata yeye Mbosso tunamlaumu kumbe nae hajui kama wewe..ni hiyo nguo yenye rangi ya njano njano Mkuu.
 
Back
Top Bottom