Wasaliti wa mabadiliko nchini hawa hapa

Wasaliti wa mabadiliko nchini hawa hapa

kitambiheshima

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2013
Posts
452
Reaction score
116
Katika makundi yaliyokiunga mkono chadema na vyama vingine vya upinzani mapema kabLa ya uchaguzi mkuu 2010 na baada ya uchaguzi huo 2011 na 2012 ni wafanyakazi wakiwemo walimu na madaktari, wanafunzi wa.vyuo vikuu na vijana mitaani. Ninadiriki kusema kuwa makundi haya yameisaliti harakati ya ukombozi. Wengi wao kwasasa wamerejea kwa magamba. Linganisha migomo ya walimu na madaktari ktk kipindi nilichokitaja na hali ilivyo sasa, jamaa wamekuwa wapooooole!. Vivyo hivyo wanafunzi wa vyuo vikuu, miaka hiyo waliuwasha moto kwelikweli, lkn sasa.wamepooooo!.

Chaguzi zote.za serikali za wanafunzi vyuoni tunaambiwa "ccm" wamechukua huku BAVICHA ikiambulia patupu. Mitaani vijana wameamua kuungana na gambaz, ona chalinze na Kalenga ni udhihirisho kuwa hata bodaboda nao wameusaliti ukombozi. Walimu na madaktari ndo usiseme, juzi mei mosi wameifagilia serikali ile mbaya kwa eti kushukuru kwa maboresho ya maslahi yao.....yepi?.

Swali langu; wameona nini watu hawa ambao ndiyo tuliwaamini kwa kuongoza mapambano ya ukombozi???. Mbona wameota mbawa kziruka harakati.za ukombozi?????
 
Katika makundi yaliyokiunga mkono chadema na vyama vingine vya upinzani mapema kabLa ya uchaguzi mkuu 2010 na baada ya uchaguzi huo 2011 na 2012 ni wafanyakazi wakiwemo walimu na madaktari, wanafunzi wa.vyuo vikuu na vijana mitaani. Ninadiriki kusema kuwa makundi haya yameisaliti harakati ya ukombozi. Wengi wao kwasasa wamerejea kwa magamba. Linganisha migomo ya walimu na madaktari ktk kipindi nilichokitaja na hali ilivyo sasa, jamaa wamekuwa wapooooole!. Vivyo hivyo wanafunzi wa vyuo vikuu, miaka hiyo waliuwasha moto kwelikweli, lkn sasa.wamepooooo!.

Chaguzi zote.za serikali za wanafunzi vyuoni tunaambiwa "ccm" wamechukua huku BAVICHA ikiambulia patupu. Mitaani vijana wameamua kuungana na gambaz, ona chalinze na Kalenga ni udhihirisho kuwa hata bodaboda nao wameusaliti ukombozi. Walimu na madaktari ndo usiseme, juzi mei mosi wameifagilia serikali ile mbaya kwa eti kushukuru kwa maboresho ya maslahi yao.....yepi?.

Swali langu; wameona nini watu hawa ambao ndiyo tuliwaamini kwa kuongoza mapambano ya ukombozi???. Mbona wameota mbawa kziruka harakati.za ukombozi?????
mbona uzungumzii miji yenye maendeleo lama Arusha?
 
hofu ya kung'olewa kucha na meno. ktk hili sisiemu tayari ni washindi. Wameua mwandishi wa hbr mwangosi ili kuwatiisha waandishi wa hbr nao wametishika hakuna mwenye ujasiri tena zaidi wakafungia ----------- ambao walikuwa hawaogopi risasi za policcm wala tindikali za ccm waliua nusu mwanaharakati ulimboka na Baada ya hapo hakuna mfanyakazi mwingine wa kujitoa mhanga.
Hii ndo ccm we isikie tu
 
na sasa wakiongozwa na kilwete (mr. dhaifu na jk feki) wanawatiisha watz kuwa serikali3 jeshi litapindua nchi. Wakitoka hapo wanakwambia tz kuna demokrasia wkt kihalisia hakuna lolote zaidi ya demokrasia ya ufisadi ambapo aliyeiba anapigiwa magoti na anayejiita rais wa nchi ili arudishe alichoiba. Only in tz
 
hofu ya kung'olewa kucha na meno. ktk hili sisiemu tayari ni washindi. Wameua mwandishi wa hbr mwangosi ili kuwatiisha waandishi wa hbr nao wametishika hakuna mwenye ujasiri tena zaidi wakafungia ----------- ambao walikuwa hawaogopi risasi za policcm wala tindikali za ccm waliua nusu mwanaharakati ulimboka na Baada ya hapo hakuna mfanyakazi mwingine wa kujitoa mhanga.
Hii ndo ccm we isikie tu

Nketi hebu thibitisha kidogo.
 
Katika makundi yaliyokiunga mkono chadema na vyama vingine vya upinzani mapema kabLa ya uchaguzi mkuu 2010 na baada ya uchaguzi huo 2011 na 2012 ni wafanyakazi wakiwemo walimu na madaktari, wanafunzi wa.vyuo vikuu na vijana mitaani. Ninadiriki kusema kuwa makundi haya yameisaliti harakati ya ukombozi. Wengi wao kwasasa wamerejea kwa magamba. Linganisha migomo ya walimu na madaktari ktk kipindi nilichokitaja na hali ilivyo sasa, jamaa wamekuwa wapooooole!. Vivyo hivyo wanafunzi wa vyuo vikuu, miaka hiyo waliuwasha moto kwelikweli, lkn sasa.wamepooooo!.

Chaguzi zote.za serikali za wanafunzi vyuoni tunaambiwa "ccm" wamechukua huku BAVICHA ikiambulia patupu. Mitaani vijana wameamua kuungana na gambaz, ona chalinze na Kalenga ni udhihirisho kuwa hata bodaboda nao wameusaliti ukombozi. Walimu na madaktari ndo usiseme, juzi mei mosi wameifagilia serikali ile mbaya kwa eti kushukuru kwa maboresho ya maslahi yao.....yepi?.

Swali langu; wameona nini watu hawa ambao ndiyo tuliwaamini kwa kuongoza mapambano ya ukombozi???. Mbona wameota mbawa kziruka harakati.za ukombozi?????

Mkuu siyo kweli kuwa wamesaliti ukombozi bali wamepigika kiasi kwamba mbele hawaoni!!! kila mtu anahangaika mwanae apate elimu nzuri na kusahau kuwa moja wapo ya kazi za serikali iliyoko madarakani ni kuwasomesha watoto wa kitanzania!!! kila mmoja wetu yuko bize kulipa bills zake ...ila moyoni wanaumia sana wanasubiria muda muafaka wa kutoa adhabu iumizayo kwa wahusika...
 
nadhani na kukosa ajira pia kumetufikisha hapa,hata maofisini watu wameridhika,wanaponda CCM lakini no action.mfano sisi tunaofanya kazi na kamati za bunge,we know in and out jinsi nchi inavoliwa,lakini staff wanakwambia raia wenyewe wanajitakia kuchagua CCM
 
Juzi tumewasikia wenyewe na Tucta yao wakimpamba JK kuwa wanamkubali (shemeji yao). Hii ni kusema upinzani unaelekea kaburini?
 
Nani atamfunga paka kengele?panya wte wanaogopa.hawa ccm wapo tyr kufanya lolote iliwarudi madarakani.
 
Katika makundi yaliyokiunga mkono chadema na vyama vingine vya upinzani mapema kabLa ya uchaguzi mkuu 2010 na baada ya uchaguzi huo 2011 na 2012 ni wafanyakazi wakiwemo walimu na madaktari, wanafunzi wa.vyuo vikuu na vijana mitaani. Ninadiriki kusema kuwa makundi haya yameisaliti harakati ya ukombozi. Wengi wao kwasasa wamerejea kwa magamba. Linganisha migomo ya walimu na madaktari ktk kipindi nilichokitaja na hali ilivyo sasa, jamaa wamekuwa wapooooole!. Vivyo hivyo wanafunzi wa vyuo vikuu, miaka hiyo waliuwasha moto kwelikweli, lkn sasa.wamepooooo!.

Chaguzi zote.za serikali za wanafunzi vyuoni tunaambiwa "ccm" wamechukua huku BAVICHA ikiambulia patupu. Mitaani vijana wameamua kuungana na gambaz, ona chalinze na Kalenga ni udhihirisho kuwa hata bodaboda nao wameusaliti ukombozi. Walimu na madaktari ndo usiseme, juzi mei mosi wameifagilia serikali ile mbaya kwa eti kushukuru kwa maboresho ya maslahi yao.....yepi?.

Swali langu; wameona nini watu hawa ambao ndiyo tuliwaamini kwa kuongoza mapambano ya ukombozi???. Mbona wameota mbawa kziruka harakati.za ukombozi?????

Hao unao waona wamepata mgao wa 200bn.Hawaipendi ccm toka mioyoni mwao
 
WAKOMBOZI WENGI WAMEPANDA MBEGU ZA UHURU kwa kujitolea maisha yao:EDUARDO MONDLANE,STEVE BIKO,CHRIS HANI,PATRICE LUMUMBA,THOMAS SANKARA,
MAKUNDI MASLAHI HAYAWEZI KULETA UKOBOZI MPAKA YAUNGANISHE NGUVU NA KUPANUA MTIZAMO KUTOKA MASLAHI YA SEKTA HADI MASLAHI YA TAIFA!
WATAWALAO WANAWEZA KUKATAA,KUTEKELEZA KWA USANII MADAI YA KUNDI MASLAHI AU KUUA MADAI KWA KUWAADHIBU VIONGOZI AMA KUWANUNUA
KW HIYO KAZI NI NGUMU BADO.JE ULISIKIA WAALIMU WAKIUNGA MKONO MADAKTARI?
 
Muleta mada ni gamba analima upepo.......mimi niko kitengo nyeti ila ziwa kubadi kabisa magamba pamoja na kuwa mimi ni senior nalipwa poa marupurupu ya safari ni kama mishahara ya miezi 9 ya Mkurugenzi wa Halimashauri ......ila magamba no......
 
Sera na utumishi wa ccm kwa watu ndiyo unaofanya wazidi kuaminiwa zaidi.
 
Watz wamejielewa na kusahihisha makosa ambayo waliyafanya 2010 wameona kama yangetimia wangekuwa pabaya nchi ingekuwa pabaya kuliko ss hivi makanjanja wangeiua hii watu wananjaa si ya kitoto anagombea urais wakati keshasaini akiukosa alipwe kwa miaka mitano
 
Watanzania wameanza kuamka, bali wanashindwa kutoa shuka kichwani kwa vitisho vilivyopo. Lakini muda ukifika tutawashuhudia kila kona wakidai nchi yao.
Chunguza kipima joto baada ya taarifa ya habari, chama kitaendelea kuwatumia wale "sijui" ila ndio na hapana wameshajitambua.
Tusubiri muda
 
hivi chama cha kitapeli kama chadema kitaleta ukombozi gani? ruzuku tu milioni mia tatu wanaigombea kama mpira wa kona..na wengine wanajikopesha..je wakipewa benki.kuu(bot) itakuwaje? mtu mwenye kashfa ya ujambazi kama lema akipewa asimamie bot si itakuwa majanga?
 
Back
Top Bottom