ayub juma kasira
Senior Member
- Aug 20, 2016
- 117
- 99
Hiyo treni ya kupita kama mkuki haijazaliwa bado Tanzania.Mabadiliko chanya yote yanamadhara kwa upande mwingine...
Kama ndani ya miezi 30 ijayo tutakuwa na hiyo treni basi watu wa mabus dar Moro/Dodoma wafanye restructuring ya biashara zao.
Kama tunaenda kuwa na reli yenye Uwezo wa kubeba malaki ya Tani watu wa malori hawana jinsi zaidi ya kurestrcture biashara zao.
Ila cha ajabu Kuna watu wanadhani hizi ni story au ndoto siku wakina treni inapita kama mkuki na waliambiwa mapema utasikia maandamano ya madereva.
Ushauri boresheni huduma zenu mfano free WiFi, bei Nzuri, muanze na kutugawia soda, wanaweza kuuboresha routes za nje ya reli na tanzania itakuwa exponentially.
Kama mimi nakuja Moro kwa treni basi nakuta express ya abood au pm Moro kilosa au ifakara sio zile coaster zinazojaza masaa sita. Watu wa malori pia wajipange...
Mabadiliko hayapingwi Bali yanakumbatiwa....
Kwa hii nchi naweza kuwaambia wasiwe hata na hofu biashara itafanyika tena zaidi ya hapa.
Treni hizo zinaweza kuja zikakosa umeme au zikikwama porini mabasi yatakuwa yamepata biashara nzuri.
Kwa kuongezea hapo mkuu, biashara ya mabasi na malori itaboreka zaidi na zaidi. Like the Maxwell's equation, wherever there is a big plus there is also a big minus and vice versa and that is life!
Kwa aina ya nchi inawezekana kabisa kikatokea hicho kitu.Mkuu, kwahio unamaanisha mabasi yatakuwa yakienda sambasamba na treni kuvizia wateja baada ya treni kuharibika maporini au?
Mi mshamba sawa ila suala la kupenda kitu halilazimishwi nduguWewe ndo hupendi na ushamba wako. Sasa nikwambie kwa wenzetu treni inapendwa zaidi. Nilibahatika kuona hating pale Beijing, Shangghai, Tianjin na Xi'an.
Da, yatatumwaga hapo tu kwenye kakona ka kimara mwisho darajaniNa mabasi huenda yajaruhusiwa kwrnda spidi 160
Hapa box halihusiki, mfanyabiasha yoyote lazima aforecast changes zozote na athari zake zote kwake.Tatizo lako hutaki kufikiri nje ya box. Dunia kote treni hizi zipo hakuna usafiri wa aina nyingine? Kila mtu ana mahitaji yake. Mwingine ataona bora basi nikishuka inakuwa karibu n ninapokwenda. Usafiri wakutoka hapo aliposhuka ni rahisi kupata. Biashara itapungua km alikuwa wakifanya safari kumi zinaweza kuwa 6.
Mfano Mzuri kwa DAR ni basi za mwendokasi....wameondoa Daladala mwendokasi wenyewe watu wanakaliana kama mizigo Abiria wanakaa vituoni masaa....Kwa hii nchi naweza kuwaambia wasiwe hata na hofu biashara itafanyika tena zaidi ya hapa.
Treni hizo zinaweza kuja zikakosa umeme au zikikwama porini mabasi yatakuwa yamepata biashara nzuri.