Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,110
- 9,619
Yaani chaneli ya Wasafi Tv inachenga za kutosha utasema enzi zile za analogi.
Unakuta unaangalia kipindi lakini watu huwaoni wanazibwa na chengachenga unabaki kusikia sauti tu🚮🚮🚮
Mjifunze basi kwa wenzenu tatizo hili ni la muda mrefu sasa, hamna mafundi huko??
Unakuta unaangalia kipindi lakini watu huwaoni wanazibwa na chengachenga unabaki kusikia sauti tu🚮🚮🚮
Mjifunze basi kwa wenzenu tatizo hili ni la muda mrefu sasa, hamna mafundi huko??


