edward93
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 561
- 1,334
Kama ni mfatiliaji mzuri wa channel ya Wasafi TV utakubaliana na mimi kuwa siku mbili hizi Wasafi TV wamekua wakipiga mfululizo nyimbo za mkali huyu wa Bara la Africa Ayodeji Ibrahim maarufu kama Wizkid na hata kuonesha show zake alizokuwa amefanya maeneo mbalimbali duniani!
Je, hi ni dalili kuwa Wasafi Festival watafnya ule utaratibu ulioachwa na Fiesta Festival wa kuleta wasanii manguli kutoka sehemu mbali mbali duniani?
Je, utaratibu huu wa Wasafi TV ni dalili kuwa watamshusha Wizkid kwenye Viwanja vya Posta tar 9 November?
Je, hi ni dalili kuwa Wasafi Festival watafnya ule utaratibu ulioachwa na Fiesta Festival wa kuleta wasanii manguli kutoka sehemu mbali mbali duniani?
Je, utaratibu huu wa Wasafi TV ni dalili kuwa watamshusha Wizkid kwenye Viwanja vya Posta tar 9 November?