dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,402
- 15,980
Macho na masikio yetu kesho asbh tuelekeze wasafi fm na tv kuwaona kina chumvi aka mizee ya minyama wakiwahoji wamiliki wa dp world huko Dubai .
Nimeona wanajipanga kuhus maswali watakao kwenda kuwauliza wamiliki CEO
Kila mmoja ameandaa swali lake swali la Zembwela linalenga kuhusu gharama za uwekezeji?
Hando yeye anauliza itapatikana kiasi gani kila mwezi ?
Kitenge yeye anauliza mkataba una kikomo au lah
Nadhani wote kiingereza kwao ni shida hivyo maswali yataulizwa kwa kiswahili kisha kujibiwa kwa kiarabu na baadae kutafsiriwa kwa kiingereza
Nani wako nyuma ya hawa wazee wa minyamaa kila siku kwao ni safari tu?
Hivi kweli hao ndio watu wanatumwa tumwa kwenda kuweka mambo sawa.
Nashauri wakirudi watandikwe viboko
Nimeona wanajipanga kuhus maswali watakao kwenda kuwauliza wamiliki CEO
Kila mmoja ameandaa swali lake swali la Zembwela linalenga kuhusu gharama za uwekezeji?
Hando yeye anauliza itapatikana kiasi gani kila mwezi ?
Kitenge yeye anauliza mkataba una kikomo au lah
Nadhani wote kiingereza kwao ni shida hivyo maswali yataulizwa kwa kiswahili kisha kujibiwa kwa kiarabu na baadae kutafsiriwa kwa kiingereza
Nani wako nyuma ya hawa wazee wa minyamaa kila siku kwao ni safari tu?
Hivi kweli hao ndio watu wanatumwa tumwa kwenda kuweka mambo sawa.
Nashauri wakirudi watandikwe viboko