Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Wapendwa,

nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.

Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.

Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.

Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.

Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.

Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.

Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.

Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.

Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.
 
Wapendwa,

nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.

Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.

Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.

Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.

Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.

Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.

Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.

Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.

.

Lakini ungeanza kwa kuonesha una roho mtakatifu bila kuongea kwa jaziba na matusi ningeshawishika kukuamini lakn umefanana na hao unaowalalamikia mrembo
 
Wapendwa,

nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.

Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.

Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.

Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.

Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.

Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.

Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.

Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.
.

nani uwa anakujaza roho mtakatifu?...........angalie asikujazee sana mpaka upasuke!!!!!!!
eti emeokoka?................. umeokoka na nini?
 
umeandika jambo la maana.
siku nyingine punguza jazba, utaandika vizuri na watu wataona hoja kwenye maandiko yako. Leo umejibu kashfa badala ya kutoa somo la Roho Mtakatifu.
Nisaidie tabia za Roho mtakatifu, ulinaye na unaye mshuhudia sehemu nyingine
Barikiwa mumini

SP
 
Haya mambo ni magumu sana!Kuna ukweli walioukataa wasabato.Kunena kwa lugha.Sababu yao kubwa ni kwamba haina umuhimu kuliko kuhutubu(kuhubiri).Hii inaweza kuwa kweli lakini haikufanyi kunena kwa Lugha iwe ni kosa.Wao wanatafsiri kama hiyo hali ya kunena ni kupagawa na roho chafu!Pia roho mtakatifu anavyochukuliwa kwa wasabato,ni tofauti na jinsi walokole wanavyomchukulia.Wasabato hawakubali sana ishara watakazoambatana nazo waliopokea roho mtakatifu!Wao wanasema hata shetani anaweza kuzifanya!!Kwa misingi hiyo si za muhimu sana.Walokole wanaamini mtu akipokea roho mtakatifu lazima awe na ishara hizo kama ilivyoandikwa katika vitabu vya injili!

Hata hivyo Yesu aliwauliza wanafunzi wake,Ni nani ambaye mwanae akimwomba mkate atampa jiwe?na akimwomba samaki atampa nyoka?Kwa nini mtu amwombe Mungu roho mtakatifu halafu asimpe?Kwa nini walokole wamwombe Mungu roho mtakatifu halafu wapolee roho chafu?

Sababu za wasabato kuamini hivyo ni eti kwa vile walokole hawashiki Sabato,swali la kujiuliza,je mtu anapewa roho mtakatifu baada ya kushika sheria ama baada ya kuamini?Au je mtu anashika sheria ili apokee roho mtakatifu ama anapokea roho mtakatifu ili amsaidie kutimiza mapenzi ya Mungu?



Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wapendwa,

nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.

Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.

Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.

Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.

Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.

Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.

Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.

Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.

Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.

Hawa mabwana hapa wanauelewa zaidi....Ngoja nikuitie
Ntuzu
Lawkeys
Nduka Original
 
Last edited by a moderator:
.
.
.
walokole hawashiki Sabato,swali la kujiuliza,je mtu anapewa roho mtakatifu baada ya kushika sheria ama baada ya kuamini?Au je mtu anashika sheria ili apokee roho mtakatifu ama anapokea roho mtakatifu ili amsaidie kutimiza mapenzi ya Mungu?


kundi la baadhi ya Mitume walioamini na kuendelea kushika sheria ya Musa na Uyahudi kwa ujumla wake bilashaka walipata ile zawadi ya Msaidizi. Ufanyaji kazi wa Mungu upo nje ya uwezo wetu wa kufikiri.
 
Hizo za walokole si roho mtakatifu bali ni ROHO MTAKAFUJO.Ndio maana wanatumia viini macho kujifanya eti wanaponya watu kwa jina la YESU.Kwa hakika YEHOVA anaweza yote na laiti angetokea nabii wa kweli akaenda pale mhimbili akaingia Mochwari akamfufua mtu mmoja tu au aende moi amponye mtu mmoja tu alievunjika mguu na kutoka nae basi Tanzania nzima ingesadiki ila walokole ni wasanii tu 'eti misule imerudi'.
 
Wana namba zao wapigie au taja jina la mchungaji aliekuwa hewani muda huo nikupe namba yake uongee nae atakusaidia.
Ila inaonekana waikubali sana Radio Morning Star 105.3 FM.
Endelea sikiliza utabarikiwa sana.
 
Hawa mabwana hapa wanauelewa zaidi....Ngoja nikuitie
Ntuzu
Lawkeys
Nduka Original



Khe Khe Khe Khe Khe

Rafiki Yangu tedo nimefurahi sn sn kuona umeniita!

Najua na ninaamini Kua sasa tumekua marafiki Wa kweli Ktk bwana!

Mleta mada kaandika tu hoja zake bila kuweka ata Andiko Kodogo!

Mi nazani Ktk hicho kipindi alichosikiliza huyo mtangazaji hawezi kusema bila Reference za maandiko!
 
Last edited by a moderator:
Dada rosemarie maandiko yanaseema hivi Mwapotea njia kwa kutokujua maandiko na uwezo wa Mungu. Hebu nikuulize hivi, unaijua historia ya unenaji wa lugha unayoiita kujazwa na roho mtakatifu ilianza lini, wapi na kwa nini mnaponena kwa lugha mnanena maneno yasiyoeleka kwa wengine?. Hebu tuanzie hapo kwanza maana naona Mungu anataka kukuonyesha jambo la maana sana katika kumfuata kwako.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom