Wasabato msituchangishe kama hamtaki bia

Wasabato msituchangishe kama hamtaki bia

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa Kaisali lazima watuachie ya Kaisali na ya Mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi.

Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.
 
Ntuzu hawa jamaa nadhani wana lao juu ya usabato kwa mwaka huu. Au ndo maandalizi ya .... yanaanza kufanywa ili muda ukifika kila mmoja awe ameaminishwa kuwa wasabato ni ....
 
Last edited by a moderator:
Harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa Kaisali lazima watuachie ya Kaisali na ya Mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi. Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.
ukiona mwanaume unalalamika hivi una tatizo kwenye vichwa vyako viwili,upstairs na hako kadogo kakati!
wewe badala ya kuiambia kamati unakuja kulalamika hapa!
 
JEKI kwani umelazimishwa kwenda harusi za wasabato, kama vipi potezea usihudhurie hata harusi moja ya wasabato ili uende za wanywa bia wenzako.
 
Last edited by a moderator:
wasabato wanamatatzo sana binafsi huwa siend kwenye harusi zao.. zinaboaaa..
yani mwendo wa kunyweshana maSODA tu
 
ukiona mwanaume unalalamika hivi una tatizo kwenye vichwa vyako viwili,upstairs na hako kadogo kakati!
wewe badala ya kuiambia kamati unakuja kulalamika hapa!

nina imani wana JF pia ni wanakamati.
 
wasabato wanamatatzo sana binafsi huwa siend kwenye harusi zao.. zinaboaaa..
yani mwendo wa kunyweshana maSODA tu

inakuwa kama vile bia wanatuninulia wao wakati ni michango yetu bhana.
 
JEKI kwani umelazimishwa kwenda harusi za wasabato, kama vipi potezea usihudhurie hata harusi moja ya wasabato ili uende za wanywa bia wenzako.

unataka mchango wangu upotee hivi hivi? pia zingine ni za ndugu au marafiki, kuacha ngumu mkuu Basluma Original
 
Last edited by a moderator:
una hakika hapa watakusikia .....? wapo hao walengwa uliowachangia.....?
Harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa Kaisali lazima watuachie ya Kaisali na ya Mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi. Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.
 
Mmh haaya yangu mimacho tu. Ila fanya hivi ukiona kuna vyoda ingia na viroba vyako ukumbini ukiseviwa fanta unachakachua na viroba vyako ndo fasheni siku hizi
Halafu hata kama kuna bia hufaudu kabisa tubia twenyewe tuwili tutatu tu ndani ya masaa mane ya sherehe au saa ingine unataka kesto ya baridi unaletewa Kilimanjaro cha moto
 
Harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa Kaisali lazima watuachie ya Kaisali na ya Mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi.

Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.

Kimsingi unachangia ili kufanikisha malengo na mapendekezo ya harusi kwa mujibu ya wenye harusi walivyopanga na sio kwa ajili nyingine. Labda ilitakiwa ujue unachanga mahali ambapo pombe hakuna ili uwe na hiari.
 
harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa kaisali lazima watuachie ya kaisali na ya mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi.

Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.
sio wasabato tu, cha muhimu kabla ya kuchanga unauliza aina ya vinyaji kama ni soda na juice ninatoa mchango wake na kama kuna alcohol natoa mchango wake. Hapo kutakuwa hakuna kulaumiana.
 
Ntuzu hawa jamaa nadhani wana lao juu ya usabato kwa mwaka huu. Au ndo maandalizi ya .... yanaanza kufanywa ili muda ukifika kila mmoja awe ameaminishwa kuwa wasabato ni ....
nadhani basi muwe mnaandika condision kwenye card za mchango ili mtu ajue kwamba anachanga na anakuwa guided na vitu fulani kwenye harusi.pia kama unatoa kwa moyo toa kwa moyo si kwaajili ya milo ndio unalalamika sana.bia si neccesity so inaweza sababisha kuvunjiana heshima kwenye sherehe.kuna harusi noja watu walilewa mpaka wakamwaga radhi mbele ya watu wazima. ''ULEVI HAUKUBALIKI",POMBE SI NECCESITY,PIA najua mtajitetea kwamba mnakunywa kistaarabu ,lakini mwishowe mnaishia kulekule:nono:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom